Siku ya ijumaa october 11 Sunday Eze kutoka Obiofia Nnewichi Nnewi katika Jimbo la Anambra,Alikwenda nyumbani kwa baba mkwe wake huko Edoji Uruagu kumuona mke wake ambae warikuwa wametengana kutokana na kutofautiana katika maamuzi yao.
Walipokaribia katika Serikali ya Mtaa huko Ekwusigo, Sunday Eze alimgeuka mkewe na kuanza kushambulia alimpiga na chuma na kisha kummwagia tindikali mwilini.
kama vile haitoshi baada ya kipigo hicho Sunday Eze alichukua kiasi cha tindikali kilichokuwa kimebakia na kisha kumnywesha mkwe kwa lazima, Ndipo mwanamke huyo alipopiga mayowe ambapo polisi waliokuwa wanapita karibu na eneo hilo walifika mara moja na kukuta mwanamke huyo akiria kwa uchungu huku mumewe akiwa kasha kimbia muda mrefu.
Polisi walimchukua mwanamke huyo na kumkimbiza katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha Nnewi iitwayo "Nnamdi Azikiwe" lakini kwa bahati mbaya mwanamke huyo alipofikishwa hospitalini hapo alifariki dunia.
Kwa mujibu wa baba mkwe anadai baada ya kufanya unyama huo Sunday aliwaita wanafamilia siku ya tar 13 october kwa lengo la kutaka kukutana nao na kuwaomba msamaha kwa kitendo alicho fanya lakini hakutaka kusema ni kwa nini alimfanyia unyama huo mkewe.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >