
Ndugu Musa
Wakazi wa Manzese wenye Hasira Kali wamvua nguo Kijana mmoja ambaye alijitambulisha kuwa ni ndugu wa msanii Geez Mabovu, Hasira za raia zilikuja baada ya Kijana huyo kukosa kosa kumtapeli Rais Manzese Madee, Inasemekana kuwa Kabla ya kukutwa na mkasa huo Mr Tapeli alimvutia wire Madee na kujitambulisha kuwa yeye ni Ndugu wa msanii Geez Mabovu na kwa wakati huo eti alikua hoi kwa kuumwa kutokana na figo yake moja kufeli, na ilihitajika milioni 7 ili kukamilisha safari ya msanii huyo kwenda kutibiwa nje ya nchi, eti familia imejipigapiga wamepata milioni 3 tu, Mr Tapeli alimwambia Madee kuwa yeye ni mdogo wake Geez Mabovu na kwao wamezaliwa wawili tu wazazi wao walishafariki miaka mingi na sasa hivi eti Geez amelazwa katika Hospitali ya Government, Mr Tapeli hakujua kuwa tayari ameshategwa kwenye Mtego mkali wa Kisayansi, ndipo raia waliposhtukia chezo hilo ambalo Madee akiwa na Saidi Fela pamoja na Babu Tale walitaka liishe kimya kimya ndipo wananchi wenye hasira kali wakatokea na kuanza kumpiga kijana hadi kumvua nguo, skilizia You Heard ya XXL kesho utaskia sakata zima lilivyokua eneo la tukio..............pyaaaaaaaa

<<PICHA YAKE NYINGINE YA UTUPU BOFYA HAPA>>
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

