Staa wa filamu Yobunesh Yusuph ‘Batuli’ amedaiwa kujiweka kwa Pedeshee Chifu Kiumbe baada ya siku kadhaa zilizopita kumfuata na kumtaka amsaidie katika project ya filamu yake .
Kwa mujibu wa chanzo chetu, baada ya msanii huyo kupewa sapoti ikiwa ni pamoja na gari la kushutia, mdada huyo amekuwa akijionesha kuwa pedeshee huyo ni mtu wake.
“Alipopewa sapoti hiyo akaona ndiyo ajiweke kabisa bila kujua kuwa Chifu Kiumbe alikuwa akimsaidia tu na wala hakuwa na wazo la kumtaka,” alidai sosi huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake.
Pedeshee Chifu Kiumbe.
Baada ya habari hizi kunaswa, mapaparazi wetu walimtafuta pedeshehe huyo ambaye alisema: “Hata mimi nashangaa kusikia watu wakisema natoka na yule dada, ukweli sijawahi kuwa mpenzi wake alikuja kuniomba msaada wa project yake nikamsaidia hata gari nilimpatia lakini nimesikia eti ananiita bebi kwenye mitandao ya kijamii, siyo kweli kabisa.”
Batuli.
Batuli naye anasemaje? Huyu hapa: “Mh! Watu wananisema mengi sana, waache waseme, mimi naongea na Chifu kawaida tu, hata jana nilimfuata anisaidie kama wasanii wengine.”
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >


