Habari Kali
Loading...

HUU NDIO UKWELI JUU YA BEEF KALI KATI YA SHAMSA FORD NA ODAMA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Odama Jennifer Kyaka ambaye ni star mkubwa wa filamu nchini amekanusha habari kuwa yupo katika beef na star mwenzake wa filamu Shamsa Ford. Karibia mwezi sasa baadhi ya mitandao na magazeti yamekuwa yakiandika kuwa Odama na Shamsa hawaelewani kama mwanzo kisa kikidaiwa ni Shamsa kuchelewesha mchango wa harusi ya mdogo wake Odama kinyume na taratibu na alivyoarifiwa tangu mwanzo. Hata hivyo akichonga na Swahiliworldplanet Odama alisema hana tatizo kabisa na Shamsa na wanaelewana kama kawaida "ni uongo wanaosema hivyo, sina tatizo na Shamsa na ningependa watu wasizushie wenzao mambo ambayo hayapo na hayana ukweli" alisema Odama ambaye amejizolea umaarufu pasipo kuwa na skendo za hovyo kama baadhi ya mastaa wenzake walivyo.
Kwa upande mwingine filamu mpya ya Odama inayoitwa JICHO LANGU kutoka kampuni yake ya J-Film 4 Life itaingia sokoni tarehe 31 mwezi huu wa tatu kwa hiyo kaa tayari kununua nakala yako halisi. 

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top