Habari Kali
Loading...

HUYU NDIYE MSANII WA JAMAICA ALIYEHUKUMIWA MIAKA 20 KWA KUMUUA PROMOTA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Mkali wa miondoko ya DanceHall kutoka nchini Jamaica, Vybz Kartel(38) amekutwa  na hatia  ya mauaji ya promota Clive “Lizard” Williams yaliyotokea Agosti 2011 na kuhukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani.
Kwa mujibu wa mtandao wa Jamaica Observer ulidai kwamba Kartel aliyekuwa amefungwa kwa takribani miaka 3 akisubiria hukumu ya kesi ya hiyo, alionekana aliyekata tamaa na kuonyesha uso wa huzuni kufuatia uamuzi wa mwisho walioutoa  majaji katika kesi yake iliyokuwa inamkabili .
vybz-kartel-murder-acquitted
Baada ya Kujadiliana mapendekezo  kwa muda wa masaa mawili,  jopo la majaii lilipiga  kura 10 – 1 zilizomtia hatiani Kartel na washtakiwa wenzake watatu, Andre “Mad Suss” St. John, Kahira Jones na Shawn “Shawn Storm” Campbell kwa kuhusika katika mauaji ya Williams(27)  huku mshtakiwa wa  nne, Shane Williams akiachiwa huru na mahakama baada ya kuonekana kuwa hana hatia.
Waendesha mashitaka walisema kuwa marehemu ‘Clive Williams’ alipelekwa St Andrew nyumba kwa mwanamuziki  Kartel ambako  alipigwa hadi kufa sambamba na kupatikana kwa risasi mbili eneo la tukio.
Kwa mujibu wa taarifa unadai kwamba hakuna ushahidi wa wazi uliopatikana ila mahakama ilitumia ushahidi wa kimazingira kuweza kujiridhisha ikiwemo ujumbe wa sauti(Voicemail) na meseji za vitisho alizokuwa akitolewa Williams.
Mashabiki Duniani watammisi Kartel, ambaye anajulikana kwa hits zake zilizokuwa zilizokuwa zikiwabamba  ikiwa ni pamoja na “romping Shop,” “Dollar Sign,” “Clarks” na “Pon De Floor,”  na baadhi ya nyimbo alizoshirikiana na wanawamuziki wa kimataifa kama vile  MIA, Eminem, Busta Rhymes, Lil Wayne, Jay Z na Rihanna.
Hata hivyo Wanasheria wa Kartel wanampango wa kukata rufaa juu ya uamuzi uliotoa mahakama katika kesi hiyo, ndani ya siku 65 kwani wanaamini hukumu iyo ni ya kihistoria, ingawa watuhumiwa wanaweza kupunguziwa adhabu na kufikia miak15 au chini ya hapo.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top