Habari Kali
Loading...

MAMBO HADHARANI:HUYU NDIE KIGOGO WA KIKONGO ALIYEKUWA ANAGOMBEWA NA WOLPER NA HUSNA KIMAPENZI...

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Mambo hadharani! Kigogo ambaye ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo anayewagombanisha mastaa wawili Bongo, Jacqueline Wolper Massawe na Husna Maulid ni huyu hapa.
Staa wa Bongo Muvi, Jacqueline Wolper Masswe.
Anaitwa Rajab Mwami Shamweshi.
Habari zilizolifikia Ijumaa zilidai kwamba baada ya mtafaruku wa mastaa hao kuripotiwa na gazeti mama la hili, Uwazi la Jumanne iliyopita, jamaa huyo aliibuka na kuanza kulalamika kwa watu wake wa karibu kuwa anachafuliwa mitandaoni kwa sababu ya mastaa hao.
Patchou Mwamba ‘Tajiri’.
PATCHOU MWAMBA NDANI
Ilidaiwa kuwa Mwami alichukizwa na ishu hiyo kwani ilimhusisha mwanamuziki wa FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’ ambaye pia ni mwigizaji, Patchou Mwamba ‘Tajiri’ kuwa ndiye humkuwadia kwa mastaa.
TUANZE NA PATCHOU
Kabla ya kumpata Mwami mwenyewe, Ijumaa lilizungumza na Patchou uso kwa uso amba alifunguka anachokijua juu ya sakata la Wolper na Husna kumgombea mwanaume huyo.
Alisema: “Mimi nashangaa kuona nachafuliwa mitandaoni lakini ukweli anayefanya hivyo ni Husna.
“Huyo Husna ni kweli aliwahi kutoka na Mwami lakini baadaye alimdharau Mwami kwa sababu alimuona hana pesa.
Mlimbwende Husna Maulid.
“Baada ya kuona pesa zimemtembelea Mwami akataka kurudi ndipo akakuta jamaa ameshajiweka kwa Wolper. Hapo ndipo Husna akaanza kuchanganyikiwa.” Patchou aliendelea kuweka wazi kwamba yeye na Mwami ni mtu na rafiki yake na pia ni ‘mapatna’ kwenye biashara.
Alisema amekuwa akikutana naye mara kwa mara Nairobi, Kenya na ndiye aliyemleta Bongo kwa ajili ya kuanzisha kampuni ya michezo ambapo alifikia hotelini.
KUWADI?
Alitiririka kwamba hajawahi kumkuwadia mwanamke lakini anachojua Mwami ni anajuana vizuri na
Wolper kwani alimtambulisha walipokutana Nairobi hivi karibuni ndipo akaujua uhusiano wao.
Patchou: “Nilishangaa kwa sababu baada ya Mwami kutua tu Bongo, wasichana wa mjini walipojua
ndipo wakaanza kumsaka hadi chumba alichofikia hotelini.“Wengine walidiriki hata kumtumia picha za utupu ili kuwa naye kimapenzi baada ya kupata namba yake.”
Patchou alisisitiza kuwa yeye si kuwadi kama wanavyomtangaza kwani hata huyo Wolper alishtukia amekutana naye Nairobi wakiwa na Mwami kwani kabla ya hapo alikuwa hajuichochote.
Baada ya kumaliza kutoa utetezi wake, aliombwa kumpigia simu Mwami na kumuweka loud speaker
(sauti ya juu) ambapo alimweleza Mwami kila kitu ndipo akakubali kuzungumza na wanahabari wetu akiwa London, Uingereza.
KIGOGO AFUNGUKA
Akizungumzia sakata hilo, Mwami ambaye anadaiwa kuwa na ‘mihela’ hivyo kujitwalia taito ya ukigogo alisema kuwa anamfahamu Husna kama mtu wa kawaida ambaye aliwahi kufahamiana naye.
KUHUSU WOLPER
Kwa upande wa Wolper alisema kuwa anamfahamu kwa kumsikia na kumuona lakini si kimapenzi kama wanavyomchafulia jina.
“Nilipokuja Tanzania kwa mara ya kwanza nilifikia hotelini…(anaitaja), kama wanavyodai hata chumba ndicho chenyewe lakini sikuja kwa ajili ya starehe za kimapenzi na wanawake, nilikuja kwa biashara zangu, nashangaa kuona nawekwa mitandaoni hovyo na anayeniweka namfahamu.
“Naomba nisizungumze sana, niishie hapo nikirudi Tanzania nitaongea nanyi kwa uwazi kabisa,” alisema Mwami.
FUMANIZI
Wolper na Husna ambao waliwahi kuwa mashosti walianza manenomaneno hivi karibuni ambapo awali haikujulikana chanzo hadi pale Husna alipoamua kulifungukia hilo la mwanaume.
Ijumaa lilifanya jitihada za kumsaka Wolper kupitia simu yake ya mkononi, alipopatikana alisema angefika ofisini kwetu kutoa ufafanuzi lakini mpaka gazeti linakwenda mtamboni alikuwa hajafika na alipotumiwa sms ya kuulizwa kama angefika au la hakujibu.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top