Habari Kali
Loading...

MSANII BEN ASAKWA KWA KUJERUHI HUYU MZAZI MWENZIE

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
MSANII wa filamu za Kibongo, Abdulmalick Ahmed ‘Ben’ anasakwa na jeshi la polisi akidaiwa kumjeruhi mzazi mwenziye, Leyla Abdalah, mkazi wa Magomeni-Mikumi, Dar.
Msichana aliyejeruhiwa na msanii Abdulmalick Ahmed ‘Ben’.
Akizungumzia tukio hilo, Leyla alisema mwigizaji huyo ambaye pia hufahamika kwa jina la Serengo amekuwa akimfanyia fujo mara kwa mara kwani Januari, mwaka huu, akiwa katika Ukumbi wa Travertine, Magomeni, Dar, alikutana na msanii huyo ambaye alimlazimisha waondoke pamoja, alipokataa akaanzisha vurugu.
Leyla alisema kwa kuwa msanii huyo walishamwagana kwa talaka tatu miaka mitatu iliyopita, alikataa kuondoka na mzazi mwenziye huyo na kudai mbali na kuachana naye, alikuwa na mpenzi wake mpya.
“Nilimuambia siwezi kwenda naye popote, alinivamia na kuanza kunishushia kipigo kikali na kunichania nguo mbele za watu, wadau walijaribu kugombelezea sikujisikia poa ndipo nikakimbizwa Hopitali ya Magomeni, Dar nikalazwa wodi ya mapumziko, nikatoka,” alisema Leyla na kuongeza:
“Nikiwa katika maumivu ya kipigo hicho, Jumamosi iliyopita Ben alinishushia tena kipigo cha mbwa mwizi baada ya kukutana naye kwenye Baa ya Kilimanjaro, Magomeni-Mapipa.
Abdulmalick Ahmed ‘Ben’.
“Anilikuta na wenzangu, akanivamia tena na kuniambia anataka tuondoke, nilipomuuliza twende wapi, akanijibu kwa ukali weee twende tu, nikamkatalia, akapanda juu ya meza na kunijeruhi kichwani na kiti ndipo nikaona bora nikimbilie Kituo cha Polisi cha Magomeni.
“Nilimfungulia kesi kwenye jalada lenye namba MG/RB/1234/14 SHAMBULIO LA KUDHURU MWILI,” alisema Leyla. Gazeti hili lilimtafuta Ben nakumsomea madai ya mzazi mwenzake huyo ambapo alikiri kuzaa naye na kudai migogoro hiyo inasababishwa na yeye kudai mtoto wake.
“Huyo mwanamke ni kweli nilizaa naye lakini kwa sasa sina haja naye hata kiduchu, nina mwanamke yuko bomba ile kinoma ukimuona mwenyewe utabloo, siwezi kurudia matapishi.
“Huyo anataka kuniharibia tu, kila nikimfuata anipe mtoto wangu anajifanya mpana na kuniletea ndivyo sivyo ndiyo maana tunakwaruzana mara kwa mara,” alisema Ben.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top