Habari Kali
Loading...

Ndege wa ajabu wanaotoa Kinyesi Chenye Sumu wautikisa mkoa wa Kagera...!!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imetakiwa kutolea ufafanuzi wa kitafiti kwa Ndege wa ajabu, ambao wameonekana katika Kisiwa Cha Msira Mkoani Kagera, wanaokunya kinyesi cha ajabu kinachosababisha kutu kwenye Mabati na kusababisha yatoboke kwa muda mfupi na kusababisha Kuku na Mbuzi kufa.

Wakiwa katika Majadiliano kuhusu Ugonjwa huo Alhamisi Machi 13, Mwaka huu kupitia mitandao ya kijamii ukiwemo wa JamiiForumsna Facebook, walitoa kilio kwa Wizara hiyo, kutoa ufafanuzi wa haraka ambapo ugonjwa huo uligundulika Mwanzoni wa mwezi Machi mwaka huu.
Mmoja wa wananchi hao Gidion Teddy wa Mbeya alisema katika Mkoa huo pia wapo Ndege wanaofanya hivyo, lakini anayewajua ni Ndege waitwao ‘Nyange nyange’ ambao mara nyingi huwa pembezoni mwa sehemu ambayo Ng’ombe wanapokula majani lakini anashindwa kuelewa kuwa batini wanaendaje huku akihitaji wananchi waelemishwe na Wizara hiyo kuwa Kuku wanadhurika kwa namna gani.
Naye Hamisi Herry wa Kigoma, alisema “Serikali inatakiwa kuwa makini kwa maana kila Mkoa hao Ndege wapo mbona hawajafanya mambo kama hayo na huku Kigoma, yaani ndio kama wanatokea maana ni wengi lakini hawana madhara yanayoonekana kama ilivyo katika Kisiwa hicho, mimi naamini 95% ya Viongozi wetu sio Wazalendo wa Nchi ya Tanzaniafuatilieni kwa haraka”
Ndege hao wanaoaminika kuvamia kisiwa hicho mwezi uliopita, tayari wamesababisha vifo Jumla ya kuku 516 na mbuzi 12 wanaodaiwa kuvuta au kula kinyesi chao lakini bado haijafahamika kuwa Ndege hao wametoka Nchi gani,
Akithibitisha Habari hizo, Mkuu wa Mkoa wa Kagea Kanali Mstaafu Phabian Massawe alisema Serikali ilipata taarifa hizo kupitia Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya na baadae kuundwa timu ya kutafuta taarifa za awali za tatizo hilo.
Awali wiki iliyopita Naibu Waziri wa Afya, Dk. Kebwe Stephene Kebwe aliyekuwa mkoani humo, ambaye awituma kikosi kazi kwa ajili ya kuchunguza suala la kuwapo kwa ndege japo jambo hilo sio la la ghafla kwa kuwa walikuwapo hapo awali lakini hawakuwa na madhara.
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mkoani Kagera, Zipora Pangani akiongea naFikraPevu alisisitiza kuwa wataalam wa Afya wanaendelea kwenda katika eneo hilo, ili kuendelea na uchunguzi wa namna ya kutatu tatizo hilo haraka iwezekanavyo na kuahidi kuwajulisha wapenzi wasomaji wa FikraPevu kuwapa mrejesho wa kila kitu kitakachokuwa kinaendelea.
bird
Alisema pamoja na mambo mengine, Elimu itatolewa kwa wananchi na ufuatiliaji wa suala hilo utatoka kwa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, ambapo Dk. Munda Elias alikwishawasili kwa ajili ya uchunguzi na kuthibitisha kuwa tayari kinyesi cha ndege hao kimepelekwa maabara kwa ajili ya uchunguzi.

SOURCE: FIKRA PEVU

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top