Habari Kali
Loading...

UTHIBITISHO WA SMS: AIBU SANA...MSANII SHUMILETA AMUUZA MSANII MWENZAKE KWA WANAUME WA NCHINI NIGERIA...!! HIVI NDIVYO ILIKUA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Huku kukiwepo na madai ya baadhi ya mastaa wa Bongo kwenda nchi za nje kufanya biashara ya kujiuza, siri imevuja kuwa, staa wa filamu aliyepotea kwenye soko la filamu Bongo, Jennifer Mwaipaja ‘Shumileta’ amedaiwa kumuuza msanii mwenzake wa kike, Lungi Maulanga kwa mwanaume aishie nchini India.
Lungi Maulanga.
Kwa mujibu wa chanzo makini, mchongo huo ulifanyika kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram baada ya Shumileta anayesaka maisha nchini humo kuona picha ‘sex’ ya Lungi (iliyopo ukurasa wa nyuma), fasta akamtafutia mteja, raia wa Nigeria (jina kapuni).
Baada ya kumegewa mchapo huo, waandishi wetu waliingia mzigoni na kufanikiwa kunasa mawasiliano ya msanii wa filamu Bongo, Lungi Maulanga na Shumileta kupitia mtandao wa Instagram.
‘Charting’ hizo zilionesha ‘live’ kuwa Shumileta amemuomba Lungi amtafutie bwana huyo wa Kinaigeria, akafanikiwa kuwaunganisha na wakaanza kuchati kupitia Mtandao wa WhatsApp ambapo mwanaume huyo alimuahidi Lungi mambo makubwa ikiwa ni pamoja na kumtumia picha yake.
Staa wa filamu za kibongo Jennifer Mwaipaja ‘Shumileta’.
Lungi alipoulizwa na mapaparazi wetu juu ya mawasiliano hayo ya kibiashara alifunguka:
“Nyie mmepata wapi habari? Hiyo simu yangu ilipotea, nahisi mtakuwa mmeona mawasiliano yangu humo. Kwani Shumi kunitafutia bwana kuna tatizo gani? Bwana kaniona, kanipenda na mimi nimechati naye, kuhusu mambo ya kwenda Naigeria hiyo haiwahusu.”
Ili kuleta usawa wa habari, mapaparazi wetu walimtafuta Shumileta kwa njia ya simu, mambo yalikuwa hivi:

Mwandishi: Shumileta mambo vipi?
Shumileta: Safi, niambie.
 
Lungi  Maulanga.
Mwandishi: Tumepata habari kuwa umemuuza Lungi kwa mwanaume Mnaigeria huko India?
Shumileta: Aliyekwambia nani? Mfuate muulize vizuri, mimi sizijui hizo habari.
Mwandishi: Mbona lakini kuna SMS zako zimefumwa kwenye simu ya Lungi ukimtafutia bwana?
Shumileta: Mfuate kamuulize mwenyewe.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top