Baada ya hivi karibuni kutoa waraka mzito unaowalenga watumishi wa mungu kwa kile alichodai kuwa ni ukiukwaji wa sheria za mungu, Nabii Hosea Chamungu ametangaza rasmi kuiwasilisha ripoti ya misukule feki mikononi mwa jeshi la polisi ili hatua za kisheria zichukuliwe….
Akiongea kwa kujiamini, Nabii Cha Mungu alimuonyesha mwandishi baadhi ya picha za misukule ikiwmo iliyowahi kuonyeshwa ndani ya kanisa la ufufuo na uzima linaloongozwa na mchungaji Josephat Gwajima…..
Cha Mungu alidai kuwa zoezi hilo litafikia hitimisho mwishoni mwa mwezi ujao.
Aidha, alitoa wito kwa ndugu, jamaa na wazazi ambao kwa namna moja au nyingine wamehusika na kuficha siri za ndugu, jamaa au watoto wao waliojihusisha na zoezi la kumdhihaki Mungu la kujifanya wao ni misukule wangali wakijua si kweli wajisalimishe kabla hajawaumbua….
“Nitakapokamilisha details nitawataja kwa majina, mahali walipo na jinsi walivyohusika, kwa wale ambao wanaogopa vitisho waje nitawaombea na roho ya woga itaondoka na hakuna atakayewadhuru,” alisema
Jitihada za kumpata mchungaji Gwajima kuongelea suala hilo ziligonga mwamba kutokana na simu yake kutopatikana.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >