Habari Kali
Loading...

BAADA YA KUTOKA KIMAPENZI NA DANCER WA DIAMOND HUU NDIO WARAKA WA AUNT KWA MKE WA MTU

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Siku chache baada ya msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel kuvamiwa na kundi la watu akiwa nyumbani kwa Wema Sepetu akitaka kuadabishwa kwa madai ya kutembea na mume wa mtu, msanii huyo ameamua kumuandikia waraka mwenye mume.
Msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel akipozi.
Aunt alifikia uamuzi wa kuandika waraka huo baada ya siku chache baadaye tena kuandikwa habari juu ya kunaswa jijini Mwanza akiwa na mnenguaji wa Nasibu Abdul ‘Diamond’ aitwaye Moze Iyobo ambaye ni mume wa mwanamke aliyefahamika kwa jina la Mwengi.
Waraka huo ambao unapatikana kwenye ukurasa wake wa Facebook ni huu:
“Dah! Kwa nini mimi kila siku, mimi kweli jamani hakuna wengine huko? Basi utashindwa hata kusalimiana na watu ktk hii dunia na yote ni wewe dada wa Mbagala, Mwengi.
Mnenguaji wa Nasibu Abdul ‘Diamond’ aitwaye Moze Iyobo akimchumu mke wake, Mwendi.
Una nini lakini na mimi, unapita unaongea uongo wee nakunyamazia, sio kama ni mpuuzi ila najitahidi kulinda kaheshima kangu hakahaka kalikobaki hebu nenda ‘kadeal’ na wa dizain zako plz mimi sitaki Mwengi, sitaki mm sio mnuka jasho mwenzio. Ni ngumu sana kuyapata unayoyataka. Mume mume, tukilala mume, tukiamka mume, we unamjua mume wewe au! Dah yaani ngoja niache tu mana naona ndio nazidi kuharibu …. still mimi ni Mrs Demonte na itabaki kuwa hivyo forever.
Ukilizungumzia sakata lake na mke wa mtu huyo, Aunt alisema: “Huyu mwanamke kuna kitu anatafuta, anataka kuniharibia heshima yangu lakini hataweza, mimi ni Mrs Demonte tu.
Moze Iyobo (kulia) akipozi na mnenguaji mwenzake kutoka kikundi cha Wasafi Classic.
“Si anasema mimi namchukulia mume wake, sasa ngoja nitaweka mtego, nitamchukulia kwelikweli ili kama ni kukinukisha akinukishe kihalali.”

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top