Habari Kali
Loading...

"DIAMOND PEKE YAKE NDIO ANA HELA NA AMEFANIKIWA WENGINE WOTE WAONGO...."....GODZILLA AFUNGUKA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Godzilla: Wasanii wengi wa bongo Flava ni waongo, wanadanganya gharama za video na nyumba walizojenga...

Rapper wa Salasala, Godzilla amewachana baadhi ya wasanii ambao amesema hudanganya jamii kuwa na maendeleo makubwa yanayotokana na kazi ya muziki kwa kutaja gharama kubwa za video na nyumba wanazojenga.
Godzilla amefunguka wakati akiongea na Bongo Dot Home ya 100.5 Times Fm Jumamosi iliyopita na kuwataka wasanii hao kuacha kudanganya kwa kuwa anafahamu kipato wanachopata wasanii wengi wa Tanzania ukimuweka kando Diamond hakiachani sana.
“Uongo ukiwa mwingi unaharibu sanaa nzima. Mtu anasema ‘sasa hivi nimepiga milioni 50’ kesho unaona anafanya kazi na Adam Juma huyu huyu, hajaenda hata huko wapi.
“Wasanii wengi wa Bongo Flava wengi sana wamekaa kiungo uongo, wanaongeza digit. Unajua mbongo akikwambia kitu sasa hivi unadivide by two. It’s a lie man. Wote tunafanya shows zilezile, pengine hata wasanii wa hip hop wanafanya shows nyingi hata zaidi ya wasanii wa bongo flava. 
“Tumchukulie mtu fulani (wa bongo flava) umuweke hata na Joh Makini pale nani anafanya shows nyingi. Joh yuko kwenye mizunguko kila siku. Pengine hata hao akina Fid Q wanapata hela nyingi zaidi. Kuongeza digit na kujizoom..hiyo ndio, na watu wa media mnavyoichukua the whole picture hapo ndio mambo mnayapoteza.”
Godzilla amegusa pia kuhusu gharama za nyumba zinazotajwa na baadhi ya wasanii kuwa zimetokana na matunda ya kazi ya sanaa kuwa sio za kweli.
“Huyu kajenga nyumba ya milioni 150, kwa muziki gani? Endorsement zote tunaziona na tunasikia kabisa amepata bei gani kutoka kwenye ile deal. Watu wanaadd digit na watu wanakubali. Wanaonekana wao kweli wanafanya kazi na wengine hawako serious, it’s a lie.”
Rapper huyo wamewataka wasanii wenzake kuwa wakweli kwa kuwa hauwezi kuwa mkubwa kwa kudanganya na kupost kwenye mitandao ya kijamii taarifa za uongo kuhusu matunda ya maendeleo yako.
“The Only artist amepata hela zake amemake amekuwa successful ameenda mbali ni Diamond peke yake. Na kila mtu anaona kaenda hapa kapiga hapa, wengine wana-double.”
Ameitaka Media kuzifuatilia taarifa za wasanii wa Bongo Fleva kabla ya kuzifanya kuwa habari kubwa na kuwashusha wasanii wa hip hop kuonekana wao hawafanyi video zenye kiwango kikubwa kutokana na kutopata kipato kama wale waimbaji.
Amesema kitu ambacho kitasaidia zaidi muziki wa Tanzania ni kuwa wakweli ili wadau na serikali ione picha halisi ya kinachoendelea kwenye muziki ili kuweza kusaidia kuuinua. Na kwamba njia pekee ni ile aliyoipendekeza rais Kikwete kuwa Makampuni yawaamini wasanii na kufanya nao kazi 

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top