Habari Kali
Loading...

HURUMA...!! BIBI KIZEE AJIANDALIA JENEZA BAADA YA KUKOSA MSAADA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Mkazi wa Kijiji cha Lundusi, Kata ya Peramiho, wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, Bibi Scholastica Mhagama amejiandalia jeneza lake ambalo litatumika kumzikia siku atakayoaga dunia.
Bibi Scholastica Mhagama(76) ambaye amejiandalia jeneza lake litakalotumika kumzikia.
Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Scholastica alisema alilitengeneza jeneza hilo zaidi ya miaka mitano iliyopita baada ya kuona anaishi kwa dhiki na anatengwa na baadhi ya watu.
“Nilijitengenezea jeneza langu na fundi alipomaliza kazi, niliingia ndani kupima kama ninatosha, nikajilaza na kuona liko sawasawa,” alisema bibi huyo.
Bibi Scholastica Mhagama akiliangalia jeneza lake.
Akifafanua zaidi bi mkubwa huyo alisema ameishi maisha ya dhiki na kunyanyaswa bila msaada kutoka kwa jamii anayoishi,  hali ambayo imemfanya amuombe Mungu amchukue ili azikwe kwenye jeneza alilojiandalia.
“Kila siku naomba Mwenyezi Mungu anichukue haraka ili nikapumzike kutokana na mateso ninayoyapata, lakini hofu yangu ilikuwa je nikifa, nitazikwa kama binadamu wengine? Ndiyo maana nimeamua kujiandalia jeneza langu,” alisema bibi huyo mwenye ulemavu wa mguu uliotokana na kung’atwa na nyoka kisha kukatwa huku mwingine ukimsumbua kukunjuka.
Bibi Scholastica Mhagama akiwa ndani ya nyumba anayoishi.
Alipoulizwa sababu ya kutengwa na jamii, bibi huyo alisema: “Nimetengwa na jamii na majirani wanashindwa kunisaidia wanadai eti mimi ni mchawi kwa sababu watoto wangu wote wanne walikufa wakiwa wadogo. Naumia sana kusingiziwa kitu ambacho sikijui.’’
Bibi huyo anayeishi katika kibanda kilichoezekwa kwa nyasi anasema kuwa, aliweza kutengeneza jeneza hilo baada ya kupewa shilingi 40,000 na mfadhili mmoja.
“Tayari nilikuwa na mbao, hivyo kazi ilikuwa kumlipa fundi fedha na kumpa mbao ili anitengenezee jeneza,” alisema Scholastica. Bibi Scholastica akiwa nje ya nyumba yake siku alipoongea na mwandishi wetu.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top