Habari Kali
Loading...

MREMBO AFA AKIJIANDAA KWENDA DUBAI, UCHAWI WAHUSISHWA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
BINTI mmoja aliyefahamika  kwa  jina la Suzana Adamu (20), mkazi  wa Mazizini- Ukonga jijini Dar amefariki dunia kwa kugongwa na gari akitoka  kukamilisha taratibu za  viza kwa ajili ya kwenda  Dubai kufanya kazi.
Ndugu wa marehemu Suzana Adamu wakilia kwa uchungu.
Kwa mujibu wa  mashuhuda  wa ajali  hiyo, ilitokea Agosti Mosi, mwaka huu saa 2:30  usiku katika Mtaa wa Mahita ambapo mrembo huyo alikuwa akitoka mjini kwa  ajili ‘shoping’ pia  kuaga ndugu na jamaa ili kesho yake apande ndege kwenda Dubai ambako alipata kazi ya mkataba wa miaka miwili.
Ndugu na jamaa wakiomboleza msiba huo.
Ilidaiwa kuwa, akiwa anarudi nyumbani kwao, alipofika eneo hilo alizolewa na gari lililokuwa limekodiwa  na watu waliokuwa wanatoka  ufukweni kula Sikukuu ya Idd.
Mashuhuda walisema dereva wa gari hilo alikuwa  mwendo kasi na hivyo kumvaa binti huyo aliyekuwa akitembea kwa miguu.Imeelezwa kuwa, kutokana na mwendo kasi, baada ya kumgonga Suzana gari hilo lilikwenda  kugonga ukuta.Mwili wa marehemu ukishushwa kwenye gari nyumbani kwao.
Akizungumza na Amani kwenye msiba wa binti yake, baba mzazi wa mrembo huyo, Adamu Mohamed alisema siku ya maziko ya marehemu huyo ndiyo ilikuwa safari yake ya kwenda Dubai.
“Ndugu mwandishi, kaburini ndiyo Dubai ya mwanangu. Sasa si mkataba tena wa miaka miwili bali amepata mkataba wa kudumu huko alikokwenda,” alisema mzee huyo kwa masikitiko.
Marehemu Susan Adamu enzi za uhai wake.
Alisema Suzana ni mtoto wake wa nne kuzaliwa, amemuacha katika  wakati mgumu kwa sababu alikuwa   tegemeo kubwa ndani ya familia. Marehemu Suzana alizikwa Agosti 2, mwaka huu katika Makaburi ya Kijiji cha Mfuru, Kata ya Maneremango, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani.
Mmoja wa marafiki wa marehemu aliyejitambulisha kwa jina moja la Aisha, alisema kifo cha Suzana ni pigo kubwa kwao kwani alikuwa mkarimu aliyependa kuwasaidia wenzake.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top