Habari Kali
Loading...

NOMA SANA HII BAR YAGEUZWA KANISA JIJINI DAR, TAZAMA HAPA DAH HII KALI...!!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
WAKATI matukio mengi ya kushangaza na kushtukiza yakiendelea kutokea kila siku duniani, neno la Mungu nalo linazidi kushika kasi kufuatia baa moja iliyopo Sinza-Lion jijini Dar kugeuzwa kuwa kanisa. 
Baa iliyopo Sinza-Lion jijini Dar ambayo imegeuzwa kuwa kanisa.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa baa hiyo maarufu iitwayo The Don, ukumbi wake ambao ulikuwa ukitumika kwa watu kupiga ulabu, hivi sasa unatumiwa na waumini wa kanisa linalojukana kama Impact International Christian Centre kupata mahubiri.
Lakini cha kushangaza ilibainika kwamba katika maandishi makubwa yanayolinadi jina la baa hiyo, chini yake ndipo limewekwa bango linaloonyesha kanisa hilo, kitu ambacho kwa mtu mgeni, ni vigumu kuelewa mara moja.
 
Muonekano wa karibu wa kanisa hilo.
“Siyo baa hiyo kaka, hilo ni kanisa siku hizi, tumeshangaa ghafla tu waumini wanakuja na mhubiri wao na wanaendelea na sala kama kawaida. Hatujui kama huyu mhubiri ndiye alikuwa mmiliki wa hii baa au imekuwaje,” alisema jirani mmoja wa eneo hilo, aliyekataa kutaja jina.
Hata hivyo, juhudi za gazeti hili kuzungumza na uongozi wa baa au kanisa hilo ziligonga mwamba baada ya kuambiwa na majirani kuwa ni nadra kuwakuta mahali hapo hivyo jitihada zinaendelea.

Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la kuibuka kwa makanisa ya madhehebu mbalimbali, ambayo kila moja huwa na watumishi wao wanaopewa majina kama Mchungaji, Nabii, Askofu na kadhalika.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top