Habari Kali
Loading...

WATU 8 WATIWA MBARONI KWA KUNYWA POMBE KABLA YA MUDA MBEYA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Jeshi la polisi mkoa wa Mbeya linawashikilia watu 08 kwa kosa la kunywa pombe kabla ya muda. Watuhumiwa hao ni pamoja na 1. Jafet Sambwe, 2. Lucas Mwakapemba (21) mkazi wa Ilemi 3. David Mwaipopo (23) mkazi wa Sinde 4. Ezia Lazaro (24) mkazi wa Manga 5. Esau Mwandenga (25) mkazi wa Sangu 6. Tamika Bukuku (27) mkazi wa Ilolo 7. Victoria Mahamudu (25) mkazi wa Sangu na 8. Rosta Mwakilembe (34) mkazi wa Jua Kali. 

Watuhumiwa walikamatwa jana majira ya saa 04:45 asubuhi huko maeneo ya stand kuu, Ilolo Sinde na Ikete, kata na tarafa ya Sisimba, jiji na mkoa wa Mbeya. Taratibu za kuwafikisha mahakamani kwa hatua zaidi za kisheria zinaendelea.
Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi Ahmed Z. Msangi anawataka wananchi kutii sheria bila shuruti kwani unywaji wa pombe kabla ya muda ni kinyume cha sheria.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top