Habari Kali
Loading...

ALICHOKISEMA RAIS KIKWETE KUHUSU AJALI ILIYOTOKEA MUSOMA NA KUUA WATU 39!! SOMA HAPA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Rais Jakaya Kikwete ameelezea huzuni na masikitiko yake makubwa kufuatia vifo vya watu 39 vilivyotokea katika ajali ya barabarani wilayani Butiama, Mkoa wa Mara, ambako pia watu 79 wameumia, baadhi yao vibaya.
 
Mara baada ya kupata taarifa hiyo iliyotokea juzi asubuhi, Rais Kikwete ambaye yuko katika ziara ya kikazi ya siku tatu mkoani Arusha, amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Mara, akielezea huzuni na masikitiko yake.
 
 “Nakuomba uwafikishie wafiwa wote pole zangu nyingi sana, ukiwajulisha kuwa niko nao katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo. Aidha, napenda uwajulishe kuwa naungana nao kumwomba Mwenyezi Mungu aziweke pema roho za marehemu.”
 
Kufikia jana, Kamanda wa Polisi mkoani Mara, Phillip Kalinji alisema hakuna watu zaidi waliopoteza maisha. Aidha, alisema wote waliokufa, isipokuwa wawili tu, miili yao imetambuliwa na ndugu zao.
 
Hata hivyo, alisema hakuwa katika nafasi nzuri ya kuwataja marehemu na majeruhi wa ajali iliyohusisha magari matatu, yakiwemo mabasi yaliyogongana uso kwa uso na gari dogo aina ya Nissan Teranno lililogongwa na kutumbukia mtoni.
 
Mabasi yaliyogongana juzi majira ya saa 5:30 asubuhi ni Scania lenye namba za usajili T 736 AWJ mali ya Kampuni ya Mwanza Coach lililokuwa linatokea Musoma kwenda Mwanza na lingine aina ya Zoutong, lenye namba za usajili T 677 CYC mali ya Kampuni ya J4 Express lililokuwa linatokea Mwanza kwenda Musoma. Gari dogo lililogongwa aina ya Nissan Terrano lina namba za usajili T 332 AKK.
 

Mwandishi alifanikiwa kuwafahamu waliokufa kuwa ni daktari wa Hospitali ya Mkoa wa Mara, Dk Anatoria Ntangeki na Sayi Hassan aliyekuwa Mhandishi wa Mradi wa Umwagiliaji mkoani Mara.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top