Habari Kali
Loading...

MUIGIZAJI WA FILAMU BONGO ATIWA MBARONI KWA KUGOMA KURUDISHA GARI ALILOPEWA NA WAKWE KAMA ZAWADI.

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
NI sheeda! Muigizaji wa filamu za Kibongo, Salim Omary ‘Slim’ amejikuta akiwekwa nguvuni katika Kituo cha Polisi cha Makangarawe, Yombo-Buza, jijini Dar akidaiwa kugoma kurejesha gari aina ya Land Lover Discovery walilopewa zawadi siku ya ndoa.
Muigizaji wa filamu za Kibongo, Salim Omary ‘Slim’.
Gari hilo walipewa na wakwe zake alipofunga ndoa na binti yao aitwaye Asia Morgan, mwaka jana lakini ilipofika Mei mwaka huu (takriban miezi tisa tu ndani ya ndoa), wawili hao walitengana na kusababisha wakwe hao wageuke mbogo kudai chao kwa maelezo kwamba walitoa zawadi hiyo kwa binti yao hivyo kwa kuwa wametengana, wanataka chao.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, Asia alifikia uamuzi wa kwenda kuishi nyumbani kwao Tegeta, jijini Dar baada ya kushindwa kuvumilia tabia ya wivu wa kupindukia aliyokuwa nayo Slim.
“Baada ya kutengana wazazi wa msichana huyo walimwambia Slim awakabidhi gari moja kwa kuwa anayo mawili na kama anataka Discovery (Land Lover) wamuachie lakini wapate moja kwa ajili ya binti yao kuendea chuo,” kilisema chanzo.
Salim Omary ‘Slim’ akiwa na aliyekuwa mke wake.
Akizungumza kwa jazba, mama mzazi wa Asia alisema, walimzawadia gari hilo kwa kuwa wote walikuwa wanapenda tasnia ya filamu hivyo gari hilo lingemsaidia yeye na mume wake katika shughuli zao.
“Kinachouma ni kwamba tusingefikishana hapa lakini tulishamuomba sana Slim kurudisha gari hilo au ampe mwanetu gari lingine abaki na hilo kama analipenda lakini alikataa na mbaya zaidi ana kila kitu, kuanzia ufunguo na kadi ya gari kitu ambacho hatendi haki kwa mtoto wetu,” alisema mzazi huyo.
kizidi kutema cheche mbele ya kinasa sauti cha Ijumaa, mzazi huyo alisema licha ya Slim kwenda Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) kushtaki ili arudiane na binti yao, haitawezekana.
“Nashindwa kuelewa kabisa jambo hili nilijitahidi sana kulivumilia lakini nimeona imeshindikana kabisa hivyo tuliamua kwenda nyumbani na kumchukua kumfikisha kituoni hapa maana sisi tulimfanya kama mtoto wetu lakini yeye amekuwa mkaidi,” alisema mama huyo.
Salim Omary ‘Slim’akiwa katika kituo cha polisi Makangarawe, Yombo-Buza.
Mwandishi wetu alimfuata Slim kituoni hapo na kuzungumza naye kuhusiana na sakata hilo ambapo alisema anachofahamu yeye ni kwamba zawadi inapotolewa kwenye harusi na wazazi inakuwa ni ya mke na mume lakini anawashangaa wazazi hao kuidai ikiwa hata mkewe hajampa talaka.
“Nashindwa kuelewa kabisa kwa sababu wazazi wa mke wangu walitoa gari lile kama zawadi sasa sielewi kwa nini walidai tena wakati mke wangu sijamuacha, suala hili lipo Bakwata.
“Isitoshe, gari hilo nimelitengeneza sana mpaka kufikia lilivyo sasa kwani bado lipo gereji, lakini kwa kuwa wameamua kunidai, baada ya miezi mitatu nitakuwa nimewapa gari lao,” alisema Slim.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top