Habari Kali
Loading...

SAKATA LA MTOTO ALIYEZAMIA KWENYE NDEGE UTATA MTUPU..MAMA YAKE AJITOKEZA NA KUSEMA HAYA...!!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Sakata la mtoto aliyezamia ndege kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar, Karine Godfrey (ambaye sasa imefahamika kwa jina la Happiness Rioba )limechukua sura mpya baada ya mama yake mzazi, Sara Zefhania kujitokeza na kusema kuwa mwanaye hakupanda ndege.
 
Akizungumza na gazeti hili jana, Zefhania ambaye ni mkazi wa Mkokozi Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani alisema Karine hakupanda ndege ila alipotea.
 
Alisema mtoto huyo ana tatizo la kutoweka nyumbani katika mazingira ya kutatanisha na kwamba hata safari hiyo ilikuwa na utata
 
Alisema kuwa hata majina aliyotumia siyo majina yake halisi kwani anaitwa Happines Rioba na kwamba hakupanda ndege isipokuwa ni yale mazingira yake ya utata ambayo amekuwa akitumia.
 
Alifafanua kuwa tabia hiyo ya kutoweka kwa mtoto ilianza mwaka 2010 ambapo alitoweka nyumbani kwa kipindi cha mwezi mmoja na alipatikana mkoani Mwanza akiwa katika mazingira yasiyoeleweka.
 
Aliongeza kuwa madai ya kusema kuwa alisindikizwa na dada yake kwenda kupanda ndege siyo ya kweli ila ni yeye mwenyewe kutokana na tabia hiyo ya kutoweka na kwenda kusikojulikana.
 
Alisema mwanaye huyo amekuwa akitoweka nyumbani mara kwa mara kitendo ambacho kinafanya maendeleo ya shule kuwa mabaya na wakati mwingine amekuwa akirudishwa darasa.
 
Alisema kwa kipindi chote tangu atoweke nyumbani alikuwa akimtafuta sehemu mbalimbali bila ya mafanikio na kwamba jana (juzi) alipata taarifa kuwa mwanaye ameonekana Zanzibar kuwa alionyeshwa katika ITV.
 
Aliongeza kuwa anapotoweka huwa anatoa taarifa Polisi na kwamba anasoma darasa la pili katika Shule ya Msingi Kelezange iliyopo Kitunda na siyo Shule ya Jitihada kama alivyodai mtoto huyo.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top