Habari Kali
Loading...

"SINA MPANGO WALA MALENGO YOYOTE NA SHILOLE, NAMTUMIA TU" ...NUH MZIWANDA ATOA YA MOYONI

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Mwaka 2013 ni watu wachache tu waliokuwa
wakilifahamu jina la Nuh Mziwanda kwakuwa
alikuwa msanii mchanga anayetafuta nafasi yake
kwenye muziki wa Tanzania. Wimbo wake ulioanza
kumtambulisha uliitwa ‘Otea Nani’ ambao ulipata
nafasi kiasi kwenye vituo vya redio.
Lakini jina la muimbaji huyo lilikuja kuwa kubwa
zaidi baada ya kuanzisha uhusiano wa kimapenzi
na Shilole, uhusiano ambao umekuwa wa wazi
katika mitandao yao ya kijamii. Kuonesha kuwa
ana mapenzi ya kweli kwa Shilole ambaye ni
mama wa watoto wawili, Nuh alijichora tattoo
mkononi yenye jina la Shilole.
Shilole pia aliamua kumpa shavu mpenzi wake kwa
kuonekana kwenye video ya wimbo wake
‘Msondongoma’ na hivyo kumwongezea wigo
zaidi. “Yeye ndo Mama watoto Mungu akijaalia,”
aliandika Nuh kwenye picha ya Shilole aliyoiweka
kwenye akaunti yake mtandao wa Instagram yenye
followers zaidi ya 19,000.
“Ukichagua kitu roho yako inapenda raha
sana.sasa kwa mfano mimi Mziwanda nna haja
gani ya kucheat wakati mtoto ana kila kitu,
kiukweli napenda mke wangu alivyojaa jaa mie
hoooooi,” aliandika kwenye picha nyingi ya
Shilole.
Naye Shilole kwenye picha aliyoiweka kwenye
mtandao huo akiwa na Nuh Mziwanda aliandika,
“Ilove my baby,” kudhihirisha upendo wake.
Hakuna shaka kuwa uhusiano huo umemwezesha
Nuh Mziwanda kukuza jina lake na ameutumia
vizuri kujitambulisha zaidi. 

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top