Idadi ya watu waliopoteza maisha kufuatia kuanguka kwa jengo lililopo
kwenye kanisa la TB Joshua jijini Lagos, Nigeria, imefikia watu 115,
kwa mujibu wa serikali ya Afrika Kusini.
Waziri Jeff Radebe wa Afrika Kusini Jumatatu hii ameitaka serikali ya
Nigeria inayokosolewa vikali kufanya uchunguzi juu ya tukio hilo. Tukio
hilo lililotokea Sept 12 kwenye eneo la kanisa la mhubiri maarufu, T.B.
Joshua, limesababisha vifo vya raia 84 wa Afrika Kusini kutoka kwenye
vikundi vya makanisa yaliyomtembelea.
Ajali hiyo imesababisha uhasama wa kidiplomasia kati ya nchi hizo mbili kubwa kiuchumi barani Afrika.
Waafrika Kusini wamechukizwa na kile wanachokiona kama serikali ya
Nigeria inajivuta kufanya uchunguzi juu ya kuanguka kwa jengo hilo na
kushindwa kuchukua hatua za haraka kuwaokoa waliokuwa wamenaswa kwenye
vifusi.
Joshua na wafuasi wake wanadai kuwa ajali hiyo ni shambulio
linalohusishwa na ndege ya ajabu iliyokuwa ikipaa juu ya jengo hilo
kabla haijaanguka.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >