Habari Kali
Loading...

Zanzibar Yajitoa Rasmi Bunge la Katiba, MUUNGANO UPO HATIANI...!! SOMA ZAIDI

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Kukosekana kwa Waziri na pia mwanasheria Mkuu kujiondoa wote wakiwa wanaiwakilisha Zanzibar ,wajumbe walio wengi wameichukulia hali hiyo kama kujitoa kwa Zanzibar katika kutunga Katiba mpya kwani itakosa nguzo muhimu zinazohitajika kutoka pande mbili za nchi washirika wa Muungano.

Sababu zinadaiwa kujitoa kwa viongozi hao wakuu ni kutokana na mwenendo mzima wa kutunga Katiba ambao umekumbatiwa na Chama tawala kwa maslahi yao binafsi na kuondoa ile hali ya kuifanya Katiba hiyo iwe inatokana na maoni ya Wananchi kama yalivyowasilishwa kwenye rasimu ya Jaji warioba na tume yake ambayo imesainiwa na raisi wa Jamhuri wa Muungano. CCM hawakujali saini ya Raisi wala ghali wameutupilia mbali na kuchomeka waliyokuja nayo kwenye viroba.

wakuu hao kwa kuthamini taaluma yao ya uwana sheria hawakuwa tayari kushiriki kusaidia hila za CCM kugeuza na kupindisha maoni ya wananchi taaluma yao haiwaruhusu na hivyo wamejiengua kulinda heshima yao na vilevile kutokubali kuiwakilisha Zanzibar katika uchakachuaji wa Rasimu ya Jaji Warioba na tume yake ambayo imesainiwa na Raisi.

Inasemekana pia wakuu hao kabla ya kujiengua walimueleza Raisi wa Nchi yao kile kinachoendelezwa na kufanywa na CCM ndani ya bunge hilo la katiba na kuwa wao hawapo tayari kuendelea kukaa na kuandika jambo ambalo lilimpelekea Raisi wa nchi yao Nheshimiwa Sheini wafanye vile wanavyoona wao ndivyo ili kulinda maslahi ya Zanzibar na watu wake.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top