Habari Kali
Loading...

AISHA MADINDA AFANYIWA KITU MBAYA UARABUNI!! SOMA ZAIDI HAPA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
MNENGUAJI wa bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’, Aisha Ramadhani Mbegu maarufu kama ‘Aisha Madinda’, hivi karibuni anadaiwa kufanyiwa kitu mbaya baada ya kupokonywa pasipoti na simu zake kisha kubadilishiwa kazi aliyokusudia kuifanya  na kufanywa hausigeli.
Mnenguaji wa bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’, Aisha Ramadhani Mbegu maarufu kama ‘Aisha Madinda’.
Akisimulia mkasa mzima, Mkurugenzi  wa Aset, Asha Baraka alisema Aisha alikwenda nchini Dubai kwa lengo la kufanya shughuli za unenguaji, lakini aliyempokea alimbadilishia kibao kwa kumnyang’anya kila kitu ili asipate mawasiliano na baadaye kumfungia kwenye jengo moja na  kumfanyisha kazi za ndani.
Asha anayejulikana pia kama Iron Lady, aliendelea kuweka wazi kuwa baada ya Aisha kufanyiwa hivyo hakuwa tena na uwezo wa kuwasiliana na mtu yeyote zaidi ya waliomteka, ila yeye alipata habari hizo baada ya kuwauliza baadhi ya wasichana wanaofanya kazi huko waliomwambia kuwa tokea wawepo Dubai hawajawahi kumuona wala kusikia habari zake.
Mkurugenzi  wa Aset, Asha Baraka.
“Yaani walimpokonya hati za kusafiria, wakampeleka kufanya kazi za ndani katika majumba ya watu, nimeshamfuatilia kujua alipo na sasa tunafanya utaratibu wa kumrejesha nyumbani, inahitajika kama dola 800 (zaidi ya milioni 1)kwa ajili ya kulipia kibali cha kuishi alichokuwa amepitiliza,” alisema Asha Baraka.
Aisha aliondoka nchini hivi karibuni kwenda huko kwa ahadi ya kwenda kunengua katika kumbi mbalimbali za starehe, lakini ndoto zake zikayeyuka.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top