Habari Kali
Loading...

BAD NEWS: MTOTO MIAKA 9 AKUTWA AMEJINYONGA KWENYE MLANGO KWA KUTUMIA GAUNI LA MDOGO WAKE..

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
MY God! Katika hali ya kushangaza, mtoto Focus Saimoni (9), mkazi wa Kwa Bibi Yuda, Kinondoni jijini Dar amekutwa amejinyonga kwenye komeo la mlango wa sebule yao.


Marehemu Focus Saimoni (9) enzi za uhai wake.
Baba mzazi wa marehemu Focus Saimon (9).
Focus aliyekuwa akisoma darasa la tatu katika Shule ya Msingi Kumbukumbu, amedaiwa kufanya tukio hilo Jumamosi iliyopita kwa kufunga gauni la mdogo wake shingoni na kujitundika kwenye komeo hilo mpaka kukata roho.
Kwa mujibu wa chanzo makini, tukio hilo lilitokea saa 6 mchana wakati wazazi wa mtoto huyo wakiwa kazini na kuacha ufunguo kwa mmiliki wa nyumba aliyejulikana kwa jina la mama Fau.Chanzo hicho kilieleza kuwa siku ya tukio,  Focus alirejea nyumbani kutoka shuleni na kumuacha mdogo wake, Irene Steve (5).
Mama mzazi wa Focus Saimoni (kushoto) akihuzunika kumpoteza mwanaye.
“Alipofika alichukua ufunguo kwa mama mwenye nyumba na kuingia ndani,  akanywa chai. Baada ya muda, mdogo wake (Irene) alirudi na kumkuta tayari ananing’inia kwenye komeo la mlango,” kilisema chanzo.
Akizungumzia tukio hilo, mtoto Irene alisema baada ya kumkuta Fucus akining’ing’inia hakuamini mara moja kama amefariki dunia.
Mama mdogo wa Irene, Catherine Zakaria (kushoto) akiwa na mama mzazi wa Focus Saimoni.
“Nilimwambia Focus usinitanie mbona hauzungumzi na mimi, nilipomwangalia vizuri ndipo nikaona ana damu mdomoni, nikakimbia kwa mama mdogo anayeishi jirani na kumueleza,’’ alisema Irene.
Akizungumza na mwandishi wetu, mama mdogo wa Irene, Catherine Zakaria alisema naye hakuamini tukio hilo.“Aliponiambia Focus kaning’inia mlangoni nilishtuka, nikakakimbilia eneo la tukio na kukuta kweli.“Ila mimi naamini kuna mtu alimnyonga kwa kutumia gauni la ndugu yake, nasema wamemnyonga kwa sababu mazingira ya tukio asingeweza kujitundika juu ya komeo mwenyewe kwa umri wake na kimo chake,’’ alisema Catherine.
Mdogo wa marehemu Focus Saimoni, Irene.
Akizidi kufafanua juu ya mazingira aliyoyakuta, Catherine alisema alishangaa wakati akihangaika kuita majirani, aliporudi  aliukuta mwili umeshushwa chini.

“Niliukuta mwili wa marehemu ukiwa umening’inia juu ya mlango lakini katika kutoka kuita majirani, kurudi nikakuta mwili umeshushwa chini, nilipojaribu kuuliza ni nani aliyeushusha, hakuna aliyenijibu,’’ alisema Catherine.Akizungumzia tukio hilo, mmiliki wa nyumba hiyo, mama Fau, alisema alishtushwa na tukio hilo.
Marehemu Focus Saimoni (9) enzi za uhai wake.
’’Tukio hili lina shaka ndani yake, mtoto wa miaka 9 anawezaje kujinyonga, kwa stress zipi? Kwa kweli inasikitisha sana, jeshi la polisi lina wajibu wa kuchunguza ukweli wa kifo cha mtoto huyo,” alisema mama huyo.Baadhi ya wananchi walioshuhudia tukio hilo pia walionekana kushtushwa na tukio hilo na kuwauliza wazazi kama mtoto huyo alikuwa na stress zozote?
Mama wa marehemu, Rehema alisema anaumia kukuta mwanaye amefariki dunia na kuomba vyombo vya dola vifanye kazi yake kikamilifu.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top