Habari Kali
Loading...

'Hausigeli' aiba milioni 2.6/- na kutokomea kusikojulikana!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
MSICHANA anayefanya kazi za ndani katika mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, anadaiwa kuiba Sh milioni 2.6 mali ya mwajiri wake.
Inadaiwa kuwa siku ya tukio msichana huyo baada ya kuiba fedha hizo, aliruka ukuta wa nyumba na kutokomea kusikojulikana.
Mwajiri wa mfanyakazi huyo, Shujaa Baruti alisema tukio hilo lilitokea Oktoba 2, mwaka huu saa 3 asubuhi, kwenye Mtaa wa Zaire, Kata ya Endiamtu.
Baruti alimtaja mfanyakazi huyo wa ndani kuwa ni Jacquelin Kimario (18) mwenyeji wa Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, ambaye aliiba fedha hizo na kuruka ukuta wa nyumba na kukimbia na fedha hizo.
Alisema msichana huyo alipoiba fedha hizo alitoroka kwa kupanda pikipiki ili akapande gari aina ya Toyota DCM kuelekea jijini Arusha, lakini baadhi ya watu walimkamata na kumkuta akiwa na fedha hizo.
“Mimi nimemsamehe na siwezi kumchukulia hatua yoyote huyu msichana baada ya kuniibia fedha zangu ila nafanya utaratibu wa kumrudisha nyumbani kwao Rombo, kwani siwezi kuishi na mtu mwenye tabia hii,” alisema Baruti.
Hata hivyo, baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo, akiwemo balozi wa nyumba 10, Maulid Kimolo alisema ni jambo la kushangaza kwa msichana kuiba Sh milioni 2.6 na wametaka jamii kuwa makini na wafanyakazi wa ndani.

Naye msichana huyo Jacquelin alikiri kuiba fedha hizo na kusema alipitiwa na shetani na kwamba alitarajia kuishi vizuri na familia hiyo hivyo anaomba msamaha kwa kufanya tukio hilo.


chanzo: Habarileo

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top