Habari Kali
Loading...

JWTZ yalaani Wanajeshi wake waliopigana na polisi huko Tarime

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)  limelaani kitendo cha askari wake wa kikosi cha Nyandoto 27 KJ Makoko ambaye inadaiwa alishindwa kutii maelekezo ya  askari polisi wa Usalama Barabarani wilayani  Tarime, Mara na kusabisha mapigano baina ya wanajeshi na polisi.
Katika tukio hilo ambalo lilitokea Oktoba Mosi, mwaka huu jioni katika kituo cha mabasi mjini Tarime, raia mmoja na askari kadhaa wa Jeshi  la Polisi wakiongozwa na Mkuu wa Upelekezi wa Makosa  ya Jinai (RCO) Kanda maalum ya Tarime /Rorya na askari wawili wa JWTZ walijeruhiwa kwa risasi.
Mkuu wa Brigedi 202 kundi la vikosi kanda ya Magharibi, Brigedia Jenerali Mathew Mayela  Sukambi, akizungumza kwa niaba ya  Mkuu wa Majeshi, alisema kitendo hicho cha  aibu kimefanywa na askari binafsi na siyo  JWTZ.
Alisema askari huyo amekiuka kiapo chake,  hivyo hastahili kuendelea kuitwa mwanajeshi  wa  jeshi hilo na kwamba ameagiza sheria na  taratibu zichukuliwe dhidi yake pamoja na  wote walioshiriki katika tukio hilo.
“Kitendo hicho kimefanywa na askari binafsi na  siyo jeshi, taratibu za jeshi zinafundisha na  kueleza afisa na askari kuwa mtiifu na mwenye nidhamu na kutakiwa kutii mamlaka na kufuata  sheria za nchi kwa mujibu wa katiba,” ilieleza sehemu ya tamko hilo la JWTZ. 
Alisema kuwa chanzo cha fujo na vurugu hizo zilisabishwa na askari wa Jeshi la Polisi Kikosi  cha  Usalama Barabarani kumkamata askari wa  JWTZ kwa kosa la kuendesha pikipiki bila  kuvaa kofia ngumu (Helment) na baada ya majibishano askari huyo aliita wenzake  waliokuwa jirani kwa ajili ya msaada ndipo  polisi waliitana kwa wingi na kuanza kutumia  nguvu kwa kutumia risasi za moto kuzima  vurugu hizo.
Aliwataka maofisa na askari wa jeshi hilo  kuzingatia viapo vyao, kutii sheria na taratibu  za nchi, mamlaka ya kiraia kwa mujibu wa  katiba ya Tanzania huku akiwaonya raia kuacha  kushabikia matukio mabaya pindi yanapotokea.  

-Mpekuzi

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top