Habari Kali
Loading...

"MKE WANGU HATAKI NIOGE WALA KUPIGA MSWAKI, NIMFANYEJE"....NAOMBENI USHAURI..!!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Naomba ushauri wenu hapa kwenye hili jambo linalonitatiza sana kwa sasa.

Niko kwenye uhusiano na huyu Malkia wangu kwa muda wa miaka sita sasa anaujauzito,lakini toka amekuwa katika hali hiyo Nyumba imekuwa chungu kwangu...
1.Hataki nioge yaani nikirudi kazini suala la kuoga halipo kwahiyo mm huwa inabidi nikienda kazini asubuhi nioge huko huko,anasema kwamba anataka asikie harufu yangu kwahyo huwa analalaga karibu na kwapani ili asikiwe tu ile harufu...


2.Siku nyingine nikirudi Nyumbani nafukuzwa hataki kuniona bila sababu muda mwingine huniambia "nanuka" pafyumu sasa yeye hataki hiyo harufu hata kama sijajipulizia hii huwa inaniuma sana kwasababu huyu huwa ni zaidi ya mpenziu wangu ni RAFIKI yangu mkubwa...
Sasa akinifukuza nikitoka haitapita nusu saa ananipigia simu nirudi Nyumbani kwanini namucha peke yake?!anadai siku hizi simpendi


3.Kuhusu Chakula
Juzi kaniambia anahamu ya Kuku tumetoka kwenda barabarani tumenunua kuku tumefika Nyumbani nampikia Kuku anasema Yeye anataka Miguu tu!na Kuku mwenyewe hajala kala kamguu kamoja na hakukamaliza...hicho ni kisa kimoja tu vipo vingi!
Wakuu,



Yapo mengi yananiumiza sana hasa muda mwingi nashindwa kuwa nae kutokana na Ugomvi mara kwa mara japo nimejitahidi kuvumilia,kuna wakati natamani hata arudi kwao ila sasa hawezi kukubali kuondoka na mimi siwezi kuvumilia awe mbali nitakosa mtu wa kuongea nae ye ndo Rafiki yangu mkubwa(mimi sina Marafiki sana hili ni tatizo ambalo nalitafutia ufumbuzi)

Naomba mnisaidie ushauri hapa nifanye nini sasa ili niweze kuishi nae kwa Amani?ndo itakuwa hivi hivi mpaka miezi tisa itimie au itafika kipindi ataacha?

Samahani kwa maneno mengi ni Pressure tu inanisumbua.Asante

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top