Habari Kali
Loading...

MMEACHANA au UMEACHWA ILA MOYONI BADO UNAHISI UNAMPENDA, FANYA HAYA UMRUDISHE NA KUTENGENEZA NAFASI YA KUWA NAYE TENA.!!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Hivi karibuni msichana wako ameamua kuachana na wewe au labada wewe ndie uliyeamua kumuacha naye ila baada ya maamuzi hayo kupita na kufanyika, moyoni unahisi upendo wako juu yake bado umeutawala moyo wako na bado anaumiliki tena kwa sehemu kubwa sana na hauko tayari kumwachia aende kwa kuwa umeshaona wazi ya kuwa maamuzi uliyoyafanya au yaliofanyika yana makosa makubwa.


Zee La Udaku imekuandalia njia itakayokusaidia kurudisha muda nyuma na kuwa naye tena, kukurudishia yule mmoja umpendae ambaye juu yake ndio moyo wako unapokamilika, njia hii itategemeana sana na hali ya mwenza wako mlieachana na jinsi anavyojisikia juu yako kwa kile ulichotenda au kumtendea.

#1; Yatambue makosa.

Unaweza fikiria unachofikiria kichwani mwako ila lazima huyo msichana atataka kujua ni nini kilichosababisha wewe kubadilika, wanawake wa karne ya digitali huitaji majibu ya sababu sababishi ya kile kilichokusababisha ubadilike kiasi cha huo uwamuzi kufanyika, uwe umesababisha wewe au yeye majibu yanatakiwa, na mwelezee kwa umakini utafanya nini ili kuibadilisha hio hali na kumpa mikakati thabidi na kumuonyesha nia ya kuyatatua hayo matatizo.




#2; Omba msamaha na onyesha hisia ya kuwa unamaanisha.

Wanaume wengine hujiona ngangali na kuona hali ya kuomba msamaha ni kujishusha, na inawezekana kabisa alishawahi kukutana hio hali kwenye uhusiano uliopita, muonyeshe una nia ya kubadilika badala ya kujielezea na kuomba msamaha, muonyeshe nia yako kwa matendo, kama ulikuwa unachelewa kupokea simu zake badilika wewe ndo uwe wa kwanza kumtafuta.

#3; Mpe muda.

Mpe muda wa kufanya maamuzi yake, maamuzi makubwa kama hayo huwa yanachukua muda kuamuliwa, usiwe na haraka ya kutegemea majibu hapo hapo, kama kweli unamuhitaji mpe muda wa kufanya maamuzi yake mwenyewe iwapo anataka kuwa na wewe au la, inaweza kumchukua sikua au hata wiki mpaka aweze kukuamini tena na kukukabidhi moyo wake, kuwa mvumilivu na usikurupuke na kulazimisha mambo kwani itakuweka mahali pabaya zaidi ya ulipokuwa.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top