Habari Kali
Loading...

RAY C AMWANGUKIA ZAMARADI MKETEMA, AWAPASHA WEMA SEPETU NA KAJALA.

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Ray C na Zamaradi
Ray anaonekana kupevuka kiakili na kifikra sana siku hizi ! kupitia mtandao mmoja wa kijamii, star huyo wa muziki wa Bongoflava amewashauri wasanii kuacahana na beef za kijinga badala yake waonyeshane upendo na kuspotiana katika kazi.
Ray C pia hakusita kumuomba msamaha Zamaradi Mketema ambaye walikwaruzana miezi michache iliyopita, huku pia aiwasihi Wema Sepetu na Kajala kuonyeshana upendo kama awali na kusahau tofauti zao
"Kiukweli huwa naumia sana ninapoona mastaa tunatumia muda mwingi kulumbana na kugombana kwa mambo ya kipuuzi sana,mastaa wenzetu wa Nigeria wanatushinda kwa mambo mengi sana sababu wao wanashirikiana na kusapotiana katika mambo mengi sana na hata ukisikia wamepishana basi ujue ni kwa ajili ya biashara tu na si vinginevyo! nilichogundua mimi ni kwamba kumekuwa na makundi mbalimbali mitandaoni yanayokuza mambo na kusapoti wasanii kulumbana mara Team Simba mara Team Nyani! naongea kutoka. Moyoni kuwa watanzania tunasifika kwa kuwa na amani na upendo! sasa iweje tena tuishi maisha ya kuchukiana na ugomvi badala ya kuishi kwa amani?
Najua sisi wasanii tuna mashabiki wengi. na tunawapenda na nyie mnatupenda kwahiyo mnatakiwa kutupatanisha tunapogombana na si kutushabikia coz mnaposhabikia ugomvvi ndio mnapotufanya tupoteze muda kulumbana badala ya kutumia huo muda kufanya kazi zetu za sanaa kwa bidii tutangaze nchi yetu tunapoteza muda kulumbana,wenzetu wanaigeria wako mbali sana kwa sababu wanasapotiana sana! wasanii tuache bifu za kijinga na tutumie muda mchache tuliopewa na mola kufanya kazi zetu kwa bidii tutangaze nchi yetu ili vizazi vijavyo virithi bidii zetu,na naomba sana mashabiki wote msapoti mazuri tuyafanyayo"
Ray C pia hakusita kumuomba msamaha aliyekuwa hasimu wake Zamaradi Mketema ambaye walidaiwa kumgombea Ruge miezi michache iliyopita na kurushiana maneno mitandaoni
"Love u zama n sorry for everything keep doing wat u do best @zamaradimketema n hey dogo langu @wemasepetu and my friend @new_kajala tusameheane na tupendane na tupige kazi Africa watutambue bana!!!!!!"

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top