Habari Kali
Loading...

SAD NEWS: BASI AINA SCANIA NA COSTA TOYOTA YASABABISHA AJALI NA WATU WANNE KUFARIKI DUNIA HUKO MPANDA...!! SOMA ZAIDI

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
 
WATU wanne wamekufa na wengine 14 wamejeruhiwa na kulazwa katika hospitali ya Wilaya ya Mpanda baada ya basi la Kampuni ya AN kugongana uso kwa uso na gari lingine. 

Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Katavi, Dhahiri Kidavashari alisema ajali hiyo ilitokea jana nyakati za saa tisa alasiri katika eneo la Mtamba wilaya ya Mlele mkoani humo katika barabara ya Mpanda - Tabora.

Aliwataja marehemu kuwa ni Emanuel Kavisha, mkazi wa kijiji cha Kasansa Tarafa ya Mamba wilaya ya Mlele na mwingine alifahamika kwa jina moja la Mswaya, ambaye ni mkazi wa Tarafa ya Inyonga wilaya ya Mlele huku marehemu wengine wawili hawajafahamika majina yao.

Alisema ajali hiyo ilihusisha basi aina Scania mali ya Kampuni ya AN yenye namba za usajili T 502 ALG nililokuwa likitokea Tabora kuelekea Mpanda na Costa yenye namba za usajili T 970 ASJ mali ya Emoro, mkazi wa Kerema Wilaya ya Mpanda, lililokuwa likiendeshwa na Abdu Feruzi likiwa linatokea Mpanda mjini kwenda Tabora.

Aliwataja majeruhi waliolazwa katika hospitali ya Wilaya ya Mpanda kuwa ni Jafari Jackison, Leonald Patrick (26) David Linus (25), Donald Gabriel (43) Nicolas Wilaamu (25) wote wakazi wa tarafa ya Inyonga Wilaya ya Mlele Wengine ni Christopher Kapaya , Jackson Shila (15), Joseph Chalula (16) wakazi wa Wilaya ya Nkasi, Rukwa ambapo majeruhi wote wamelazwa katika hospitali ya Wilaya ya Mpanda.

Kidavashari alisema chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa magari hayo na dereva wa Costa alikimbia mara baada ya kutokea kwa ajali hiyo na jeshi la polisi linaendelea kumsaka.

Kwa upande wake, Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Mpanda, Dk Jafari Kitambwa alisema hali ya majeruhi waliolazwa hospitalini hapo inaendelea vizuri.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top