Habari Kali
Loading...

Ubalozi wa Somalia nchini Tanzania Wafungwa!! SOMA HAPA KUJUA SABABU

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Waziri wa Mambo ya Nje wa Somalia, Dk. Abdirahman Duale Beyle amesema kuwa, balozi za Somalia nje ya nchi zimepunguzwa na kufikia 31 kote ulimwenguni.

Duale amesema kuwa, balozi hizo zimepungua tangu kulipofungwa balozi tisa za nchi hiyo barani Afrika, Mashariki ya Kati, Asia na hata Ulaya. Ofisi hizo za uwakilishi wa kisiasa zilifungwa kwa muda kufuatia kuongezeka gharama za uendeshaji wake.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Somalia amesema kuwa serikali ya Mogadishu imekwishachunguza sababu zilizopelekea kufungwa balozi hizo tisa na kubaini kwamba suala hilo halitaathiri uhusiano wa kidiplomasia kati ya Somalia na nchi husika zilikofungwa balozi hizo. Amesisitiza kwamba hatua hiyo ilichukuliwa kutokana na matatizo ya kifedha na si kwa sababu nyenginezo.


Amezitaja nchi hizo kulikofungwa balozi za Somalia kuwa ni pamoja na Tanzania, Burundi, Syria, Ujerumani, Uingereza, Malaysia, Libya, Rwanda na Sudan Kusini.

-via Mpekuzi

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top