Habari Kali
Loading...

UNYAMA..!! AMUUA MKE WAKE KWA KUMKATA NA MAPANGA HUKO SHINYANGA!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Mwanamke mmoja amefariki dunia mkoani Shinyanga, aitwaye Vumilia Kulwa (21) baada ya kuuawa na mumewe akiwa nyumbani kwa wakwe zake.

Kamanda wa polisi wa mkoa wa Shinyanga, Justus Kamungisha, amesema mwanamke huyo mkazi wa kijiji cha Mwongozo kata ya Mwenge tarafa ya Nindo wilayani Shinyanga, ameuawa na mumewe, Singingi Luyengeja (30) baada ya kumkata panga kichwani na kufa papo hapo.
 
Kamanda amesema chanzo cha mauaji hayo ni wivu wa mapenzi baada ya Luyengeja kusadiki mkewe amekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume mwingine ambaye hajafahamika jina lake wala makazi.
 
Amesema baada ya mauaji hayo yaliyofanyika nyumbani kwa wazazi wa marehemu, mtuhumiwa ametoroka kusikojulikana na polisi wanaendelea kumtafuta.
 
Kamugisha amesema mwanaume huyo akipatikana atafikishwa katika vyombo vya sheria ili sheria iweze kuchukua mkondo wake.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top