Habari Kali
Loading...

WEZI WA MIFUGO WAUAWA KWA KUCHOMWA MOTO HUKO MARA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >


Watu watano wamekufa katika matukio matatu tofauti, wakiwemo watatu waliouawa na miili yao kuchomwa moto na wananchi wanaojiita wenye hasira, baada ya kutuhumiwa kuiba ng’ombe 40 katika Wilaya ya Bunda Mkoani Mara.
 
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoani Mara, Philipo Kalangi, tukio la kwanza lilitokea Machi 24 mwaka huu, majira ya saa 3:00 asubuhi katika kijiji cha Kunanga wilayani Bunda.
 
Alisema watu hao watatu waliuawa kwa tuhuma ya kuiba ng’ombe 40, mali ya Julius Malima (56), mkazi wa kijiji cha Kenkombyo- Neruma kata ya Neruma wilayani Bunda, baada ya kuvunja zizi na kuanza kuswaga ng’ombe hao, majira ya saa 10:00 usiku.
 
Alitaja waliouawa kuwa ni Mayala Buluma (29) mkazi wa kijiji cha Jiniva-Kyabakari Wilaya ya Butiama na Mukina Buluma (25), mkazi wa kijiji cha Namhura wilayani hapa, ambao wote ni watoto wa mzazi mmoja.
 
Mwingine ni Chacha Masagati (22), mkazi wa kijiji cha Kyabakari Wilaya ya Butiama.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top