Habari Kali
Loading...

Baada ya kuzushiwa kifo,Hussein Machozi asema ameamini thamani ya msanii huonekana akishafariki dunia.

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Msanii wa Bongo Fleva,Hussein Machozi amefunguka na kusikitishwa na habari zilizoenea kuwa amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari mkoani Dodoma.
Alisema kuwa tangu habari hizo kuenea siku ya jana amekuwa akipigiwa sana simu na watu tofautitofauti wakimuuliza kama mzima wa afya. ‘’Jana nilikuwa nimezima simu kwa muda mrefu nilikuwa nimeenda mazoezini baada ya kurudi nilipowasha tu simu ziliingia kama mvua kilichonishangaza wengi walikuwa wakipiga wakisikia sauti yangu wanakata simu,’’alisema Hussein Machozi.
‘’Yaani kuna watu wamenipigia simu ambao walikuwa walishakata mawasiliano na mimi muda mrefu na nimeambiwa nyimbo zangu zimepigwa sana siku ya jana baada ya taarifa hiyo kuzagaa,’’aliongeza Hussein Machozi.
Aidha aliongeza kuwa ameamini kuwa msanii akishakufa thamani yake inaongezeka sana,na anatarajia kufanya dua na kualika watu mbalimbali nyumbani kwao kwa ajili ya kujiombea kutokana na tukio hilo.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top