
Msanii wa kitambo katika tasnia ya filamu Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’, amefunguka kuwa anahisi yeye na mwigizaji mwenzake ambaye ni mkongwe, Blandina Chagula ‘Johari’ wana gundu kwani wasanii wenzao wengi wana watoto na wengine ni wajawazito lakini wao wapowapo tu.
Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Maya alisema kuwa kuna wakati anakaa na kufikiria sana hatma yao na kuona kwamba kama imeshindikana kuolewa basi wapate hata watoto angalau nao wajidai kama wenzao.
“Mimi na Johari ni wasanii wakongwe sasa sijui ni gundu ama nini, kama hatupo kwenye listi ya wale wa kuolewa basi tupate hata mtoto mmojammoja maana mimi naona tunazidi kuzeeka kabisa kila siku inayoenda kwa Mungu,” alisema Maya.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >