"Siku nilivyokua nasafiri ktk uwanja wetu nikasimamishwa ktk chumba flani hapo air port kuhojiwa na kupewa onyo juu madawa ya kulevya na nikaambiwa kuwa siku Jack alivyo pita walimpa onyo Kama walilo nipa mm matokeo yake ndio ilikua safari yake ya mwisho ndio akakamatwa- na hata nilipo fika safari yangu nikahojiwa hivyo hivyo baada ya kufika HK kwa hivyo inaonekana wazi ambavyo hii biashara imekua kubwa Tanzania maana kila unapo pita wana kushuku na mm huwa inanitokea Mara kwa Mara na kuna Mara moja nilisha sachiwa sana CHINA na mpaka kupigwa ex ray - na mbali na madawa kuna mambo mengi yanaendelea ambayo si mazuri ikiwemo wizi- ku over stay na upumbavu mwingi ambao unatusababishia matatizo madogo madogo sisi raia wema .... Kiufupi ni kwamba nyinyi wote mnao fanya hizi biashara lzm mjue mnaikosea nchi yetu- manatukosea watanzani manazikosea familia zenu na mwisho wa siku biashara hii inakupeleka jela ukiwa tayari umemkosea kila mtu zaidi na kizazi chako" Faiza ally
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >