Habari Kali
Loading...

Flaviana Matata kaibuka tena kwenye MAGAZINE ya Kimataifa, kingine kuhusu yeye ni hiki..

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Flavi
Mwanamitindo wa TZ ambaye yuko kwenye HEADLINES za Kimataifa.. Nimekutana na kitu kinachohusu yeye mtandaoni, nikaona kwa sababu ni mtu wetu basi niisogeze hii ili watu wake pia waone.
Kaingia kwenye HEADLINES za Magazine kubwa duniani, BLACK ENTERPRISE ambao wamefanya nae exclusive interview, mengi kayasema hapa mengine hata sikuwahi kuyajua kutoka kwake.. kumbe ishu ya kuingia kushiriki Miss Universe hata hakuwa na idea ya kitu anachokifanya, aliingia kwa kujifurahisha tu !!
Kingine alichokiongea ni ishu ya Flaviana Matata Foundation, taasisi ambayo aliianzisha kwa ajili ya kusaidia wasichana yatima kwenye masuala mbalimbali ikiwemo mahitaji muhimu ya Shule.
Flaviana
Niliwahi kumuona marehemu mama yangu akisaidia watoto wengine kuwapeleka shule.. Nilikuwa mdogo sana lakini alikuwa akituambia na ndugu zangu umuhimu wa kusaidia watu ambao wanahitaji msaada.. Nilianzisha FMF kwa ajili ya kuendeleza moyo wake wa kujitolea..“– Flaviana Matata.
Jitihada nnazozifanya kusaidia wasichana kupata elimu itakuwa ni kitu ambacho kila mtu anaweza kukipongeza..“– Flaviana Matata.
Safari ya staa wetu wa mitindo inaendelea yani, kwenye exclusive hiyo amesema moja ya changamoto iliyopo TZ ni watu wachache kutoa support kwenye misaada anayotooa kwa kuwa ni wachache ambao wanajua maana ya kujitolea kwa jamii.
Tumeona zaidi ya mara mbili staa huyu anatoa misaada mashuleni, anahitaji support yako pia mtu wa nguvu ili kuifanikisha, unaweza kumfollow kwenye Twitter na Facebook @FlavianaMatata, Instagram unaweza kumcheki kwa kubonyeza hapa pia @

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top