Habari Kali
Loading...

GWAJIMA ASHITAKIWA MAHAKAMA YA KISUTU DAR!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
HATIMAYE Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, ameshitakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa makosa mawili ya kutoa lugha ya matusi na uzembe wa kuhifadhi silaha yake.
Askofu Gwajima ameshitakiwa pamoja na wenzake watatu, waliotajwa mahakamani hapo kuwa ni Yekonia Behanaze,

Jofrey Andrew na George Mzava.
Mbele ya Hakimu Mkazi Wilfred Dyansobera, wakili upande wa Serikali, Joseph Maugo, alidai kuwa Askofu Gwajima anakabiliwa na shtaka la kumtukana Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo.

Wakili Maugo alidai kuwa Askofu Gwajima alitenda kosa hilo kati ya Machi 16 hadi 25, katika Viwanja ya Tanganyika Peckers, vilivyoko Kawe, Jijini Dar es Salaam, mahali ambako kanisa lake lipo.
Katika shitaka la pili, Wakili Maugo alidai kuwa Askofu Gwajima anashtakiwa kwa uzembe wa kuhifadhi silaha ya moto anayomiliki kisheria.

Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akiongea na wanahabari.
Akisoma mashitaka hayo, Wakili Maugo alidai Askofu Gwajima alitumia lugha ya matusi na kumfedhehesha Askofu Pengo kwa kumuita mpuuzi na asiyekuwa na akili.
Hata hivyo, Askofu Gwajima alikana mashtaka yote mawili.

Wakili Maugo alidai mbele ya Hakimu Dyansobera kuwa washitakiwa wengine watatu katika kesi hiyo walitenda kosa la kukutwa na silaha kinyume cha sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Alidai kuwa watuhumiwa hao walitenda kosa hilo Machi 29, katika Hospitali ya TMJ Mikocheni, iliyopo Kinondoni, Dar es Salaam.

Aliendelea kudai kuwa washitakiwa Behanaze, Andrew na Mzava walikutwa na risasi tatu za bastola, 17 za shotgun na bastola moja.
Baada ya kusoma mashitaka hayo, Wakili Peter Kibatala ambaye anamtetea Askofu Gwajima, aliiambia mahakama kuwa shitaka linalomkabili mteja wake linadhamika kisheria, hivyo aliiomba mahakama iridhie kumpatia dhamana.
Wakili huyo alieleza kuwa mshtakiwa ni Askofu wa Kanisa la Glory’s of Christ Tanzania (Kanisa la Ufufuo na Uzima) na anafahamika nchi nzima, lakini mbali na tuhuma hizo, nyumba yake jana ilizingirwa na polisi.

Aliendelea kueleza kuwa mteja wake amekuwa nje kwa dhamana tangu Machi 27 na awali hata alipokuwa akihojiwa na polisi na kuzimia ghafla amekuwa mwaminifu kwa kuripoti mwenyewe polisi kila alipohitajika, hivyo pamoja na kuzingatia wasifu wake, aliiomba mahakama ikubali ajidhamini mwenyewe.
Akijibu hoja hizo, Mwanasheria wa Serikali, Shedrack Kimario, alisema hoja zilizotolewa na wakili wa mshtakiwa hazina mashiko, kwa sababu mshitakiwa alionekana kutaka kukwepa mkono wa sheria.
Hata hivyo, alisema iwapo mahakama itaona anastahili kupata dhamana na iwapo atatimiza masharti, basi upande wa mashitaka hauna pingamizi.

Hakimu Dyansobera baada ya kuzingatia hoja za pande zote mbili alisema Askofu Gwajima ajidhamini mwenyewe kwa bondi ya Sh milioni moja na washitakiwa wenzake aliwataka kuwa na mdhamini mmoja akila mmoja ambaye atasaini bondi ya Sh milioni moja.
Washtakiwa wote walitimiza masharti ya dhamana na kuachiwa hadi kesi hiyo itakapotajwa tena Mei 4, mwaka huu.
Awali Askofu Gwajima aliwasili katika Kituo Kikuu cha Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam saa 9:10 akiwa ndani ya gari lake lenye namba za usajili T. 159 DDH, akiwa ameongozana na mawakili wake.
Alikwenda kuripoti kwa Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, kabla ya kupelekwa Mahakama ya Kisutu kwa kutumia gari lenye namba za usajili Z 322 FN, lililoingia kwenye viunga vya mahakama ya Kisutu majira ya 9:27 alasiri.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top