Habari Kali
Loading...

HATARIII:Akodi kibao kata kwenye kumsuta shoga yake...!!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Wanawake wa mjini wanasema makubwa, madogo yana nafuu! Msemo huo unakwenda sambamba na tukio la hivi karibuni la mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina la Rukia Mabeseni mkazi wa Kigogo jijini Dar kukodi ngoma ya kibao kata kwa lengo la kwenda kumsuta shoga yake aitwaye mama Mariam.

 Rukia Mabeseni akimsuta shoga yake pamoja na wenzie.

Ilikuwaje? Msikie Rukia Mabeseni
“Shost wangu, huyu mama Mariam huyu aliwahi kumzawadia mwanangu baiskeli katika sherehe yake ya kuzaliwa, nikashukuru na nikajua shoga ninaye.“Cha ajabu juzijuzi hapa alikuwa na sherehe yake, bahati mbaya mimi sikuwa kwenye hali nzuri, nikampelekea zawadi ndogo, hee! Kumbe mwenzangu hajaridhika.


“Si akaanza kunisema vibaya kwa watu, eti kama hali yangu ilikuwa mbaya kwa nini sikusema mapema badala ya kumpelekea matambara, kwa kweli iliniuma sana.“Ndiyo nimeamua kumrudishia zawadi yake ya baiskeli kwa staili hii ili aweke kumbukumbu kuwa alichonifanyia si kitu kizuri,”  alisema Rukia.
 Wakizidi kumsuta.

Kwa mujibu wa shuhuda aliyekuwa eneo la tukio, Rukia akiwa na wapambe wake waliokuwa wamevalia sare za madera kufika nyumba kwa mama Mariam, hakufungua mlango kwa kukwepa aibu.Ikaelezwa kuwa, baada ya kundi hilo la wanawake lililokuwa likicheza kwa staili ya kukata mauno kuondoka, msutwaji huyo aliamua kukimbilia Kituo cha Polisi cha Kigogo kutoa taarifa akihisi kuwa watamrudia tena na kumfanyia vurugu.

Hata hivyo, baada ya Rukia kusikia kuwa wameenda kushitakiwa, walirudi tena ambapo safari hii mama Mariam alikubali yaishe kwa kuomba msamaha. “Ameomba msamaha na amefuta kesi kwa sababu alisema kuwa alighafirika tu, hata hivyo alinipigia simu na kuniambia anaumwa anaomba tuongee yaishe ikibidi tukamuone tumalize tofauti zetu,” alisema Rukia.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top