Habari Kali
Loading...

INASIKITISHA SANA...!! MTOTO AZALIWA BILA SEHEMU YA HAJA KUBWA!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
MTOTO Salma Omary (3) mkazi wa Banda Mbili, Sombetini jijini hapa, anaishi kwa  mateso makali baada ya kuzaliwa akiwa hana sehemu ya haja kubwa, hali iliyolazimu kujisaidia kupitia tundu lililotobolewa tumboni kwake.Mama mzazi wa mtoto huyo, Mariamu Andrea (28) aliliambia gazeti hili kuwa zinahitajika kiasi cha shilingi milioni moja ili aweze kutibiwa katika hospitali ya KCMC mjini Moshi na kuwa mzazi mwenzake alimkimbia baada ya kubaini tatizo hilo.
Mtoto Salma Omary anayedaiwa kuzaliwa bila ya sehemu ya haja kubwa akiwa na mama yake.
Akiwa anaishi nyumba ya udongo na kulala kwenye kitanda kisicho na godoro, Mariam alisema alikuwa akifanya kazi za ndani katika miji ya Dar es Salaam na Arusha kabla ya kukutana na mwanaume aitwaye Omary, aliyempa ujauzito lakini akamtelekeza baadaye.
“Niliamua kwenda hospitali ya rufaa KCMC kuwaomba wanisaidie lakini waliniambia nitafute fedha, kwani kila ninapoenda natakiwa kulipa shilingi 200,000,” alisema.
Diwani wa kata ya Sombetini, Ally Bananga na Mwenyekiti wa umoja wa wanawake chadema (BAWACHA), Cecy Ndossi wamemkabidhi msaada wa shilingi 500,000 ikiwa ni sehemu ya fedha zinazohitajika kufanyiwa upasuaji.
Kwa anayeguswa na tatizo la mtoto huyu na anajisikia kusaidia wasiliana na mama yake kupitia namba 0767631933.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top