Cha mwisho kusikika kutoka kwenye
HEADLINES za Bungeni March 2015 ilikuwa ishu ya mjadala wa Muswada wa
Matumizi ya Mtandao, mvutano ukawa mkubwa na kusababisha Bunge
kuahirishwa saa tano usiku… Wabunge walikuwa wakivutana kuhusu kupitisha
baadhi ya vipengele kwenye Muswada huo.
Okay, n’na stori ya Kenya sasa hivi, ishu ni hiyo hiyo kesi ya matumizi ya mitandao.. Kijana mmoja Robert Mungai yeye
tayari yuko mikononi mwa Mahakama, kinachosubiriwa ni Mahakama
kuendelea kusikiliza kesi yake na kuamua hukumu pia kutokana na jamaa
huyo kukabiliwa na kesi ya kuandika ujumbe wa uongo kwenye ukurasa wake
wa Facebook siku ya April 4 2015.
Polisi Kenya wamesema Robert aliandika ujumbe wa kuwaonya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Egerton University kilichoko Njoro, ambapo ujumbe alioandika alikuwa akiwataarifu wenzake kuwa Kikundi cha Al-Shabaab kitashambulia.
Robert alikataa kutenda kosa hilo lakini Polisi walikataa asiachiliwe kwa dhamana kwa kuwa uchunguzi bado haujakamilika.
Imeripotiwa na vyombo vya habari Kenya,
wanasema kwa Sheria ya nchi hiyo ilivyo huenda hukumu yake ikawa kifungo
cha zaidi ya miaka ishirini.
Alan Wadi Okengo aliwahi
kuingia kwenye HEADLINES pia toka Kenya January 2015 baada ya
kuhukumiwa mwaka mmoja jela na kulipa faini kwa kosa la kumtukana Rais Kenyatta mtandaoni.
TAZAMA VIDEO HAPO CHINI:
TAZAMA VIDEO HAPO CHINI:
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >