Habari Kali
Loading...

MAAJABAU..!! HUYU NDIYE MTU ALIYEKAA KWENYE NYUMBA YA KUPANGA KWA MIAKA MINGI KULIKO WOTE!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Nyumba nyingi za kupanga zimekuwa na changamoto zake!.. Umewahi kukaa kwa muda gani kwenye nyumba za kupanga bila kuhama au umeshahama nyumba ngapi mpaka sasa?
Hii sio mbali sana, inatokea mtaa wa Old Ngara, Kenya ambako kuna mzee mmoja ambae ameishi kwenye nyumba kwa muda mrefu, hii rekodi sikuwahi kuisikia kwingine.
NYUMBA
Mzee huyo Adam Mamuji amesema ameishi kwenye nyumba hiyo tangu mwaka 1944 kabla nchi hiyo haijapata uhuru, wakati huo alikuwa akiishi na wazazi wake ambao walifariki.. kipindi hicho kodi ilikuwa shilingi 45 za Kenya.
Mzee Adam amesema mwaka 1948 kodi ilipanda na kufikia shilingi 140, lakini kwa sasa wanalipa shilingi elfu 10 za Kenya.. amesema hawezi kutafuta nyumba nyingine tena kwa sababu ameishi kwa muda mrefu kwenye nyumba hiyo ameiomba Serikali imuuzie.
Nimeamini hakuna watu watunzaji wa vitu kama wazee, huyu mzee ametoa mpaka risiti ya Kodi ya nyumba aliyolipia miaka ya 1940 !!
Hii story yote iko kwenye video hapa ambayo iliripotiwa na kituo cha K24 Kenya..

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top