Jana April 7 ilikuwa siku ya tatu ya maombolezo baada ya shambulio la kigaidi Chuo Kikuu cha Garissa Kenya, watu waliweka misalaba na mishumaa katika viwanja vya Nairobi kuwakumbuka wanafunzi 148 waliouawa katika shambulio hilo.
Wanafunzi wa Chuo cha Garissa walifanya maandamano Nairobi wakiwa na ujumbe kuishinikiza Serikali ya Kenya kuimarisha ulinzi.
Zaidi ya watu 2000 walikusanyika kulaani
mashambulizi hayo huku Mahakama kuu ikitoa mwezi mmoja kwa Polisi
kuwahoji watu sita waliokamatwa mpaka sasa kwa kuhusika na tukio hilo
ambapo kati yao anatajwa kuwepo Mtanzania mmoja.
Kenya imefungia account za Benki za watu 86 ambao wanahisiwa kukisaidia Kikundi cha Al-Shaabab.







#RIP watu wetu waliofariki kwenye mashambulizi hayo.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >


