TETEMEKO
la ardhi limetokea nchini Nepal jana na na kupoteza
maisha ya watu ya 900 na kuangusha Mnara wa Karne ya 19 Mjini,
Kathmandu pamoja na kusababisha maporomoko ya theluji kutoka katika
milima.
Taarifa
zinadai kuna uharibifu katika maeneo ya nje ya kitovu cha tetemeko hilo
lenye ukubwa wa kipimo cha richter cha 7.9 maili 50 kutoka Pokhara mji
wa pili kwa ukubwa nchini Nepal.
Tetetemeko
hilo la ardhi ni kubwa kabisa kuwahi kuikumba nchi hiyo katika kipindi
cha miaka 81 na pia limesababisha athari katika majimbo ya nchi jirani
kaskazini mwa India na Bangladesh.
Kunauwezekano vifo hivyo vinaweza kuongezeka katika Bonde la Kathmandu ambalo lina watu milioni 2.5.
Naibu
balozi wa Nepal mjini New Delhi Prasad Pandey amesema inahofiwa kuwa
mamia ya watu wamekufa na kuna ripoti ya kuwepo kwa uharibifu mkubwa
kila sehemu kubwa na kwamba sio tu katika baadhi ya maeneo ya Nepal bali
ni nchi nzima imeathirika.
Nepal
ilikumbwa na tetemeko kubwa la ardhi kuwahi kurekodiwa nchini humo hapo
mwaka 1934 likiwa na kipimo cha 8.0 ambapo watu 8,500 walipoteza maisha
yao.

Baadhi
ya Waokoaji wakiwa wamsaidia mmoja wa waathirika wa Tetemoko hilo
aliekuwa amefukiwa kwenye kifusi ya moja ya majembo yaliyoporokoma
kutokana na tetemeoko hilo.

Sehemu ya athari za tetemeko hilo.

Jitihada za kuokoa waliofunikwa na kifusi zikiendelea.

Wananchi wa Nepal wakishirikiana kwa pamoja kuvuta kamba.

Ramani inayoonyesha sehemu iliyokumbwa na tetemeko hilo.
Picha zote kwa hisani ya Mtandao wa Daily Mail
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >