Imetusikitisha
sana kumbe nyuma ya kashfa alikuwa akidaiwa Askofu Gwajima juu ya
Kardali Pengo ilikuwa ni ufunguo tu wa serikali kuingilia Imani na
Utendaji wa Viongozi wa kidini (Askofu Gwajima) Iweje kashfa iliyokuwa
inamuhusisha Kardinali Pengo na Askofu Gwajima ipelekee kuhojiwa na
Kudaiwa alete nyaraka zinazohusiana na mapato na matumizi ya Kanisa la
ufufuo na uzima, Kwani makanisa huwendeshwa na ruzuku kutoka serikalini
!?, Je!
Kuna
kanisa au dhehebu lolote la kidini wawe waislam au wakristo wameisha
wahi kuhojiwa kuhusu mapato na matumizi ya madhehebu(makanisa/misikiti)
yao?
Wanapohoji
nyaraka za helicopter kwani! Iliingia nchini kwa uficho!?.... Kwanini
wasiene kuuliza TRA kama helicopter hiyo haikulipiwa ushuru ?
Kumbe
tumegundua serikali na wanasiasa walioko madarakani wanaajenda ya siri
juu ya Askofu Gwajima. Nchi yetu ina mambo mengi ya kushughulikiwa na
serikali ili kutatua matatizo ya wananchi kama vile vifo vya albino,
migogoro ya wakulima na wafugaji, matumizi mabaya ya fedha(ESCROW) na
mikataba mibovu isiyo na manufaa kwa mtanzania mmoja mmoja .
Mambo
kama haya kama ya Sakata la Escrow na Epa yangekuwa yanafuatiliwa kwa
karibu kama anavyofuatiliwa Askofu Gwajima ingeleta tija kwa uongozi
uliopo madarakani na Imani kwa wananchi juu ya serikali yao.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >