Habari Kali
Loading...

SAKATA LA KUSUMBULIWA NA POLISI...GWAJIMA PRESHA TUPU!!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Mwandishi  wetu
SIYO siri! Huku jana akiwa ametarajiwa kuripoti tena Kituo Kikuu cha Polisi, Dar (Central) kauli ya serikali kwamba, taasisi za dini ambazo viongozi wake wamekuwa wakitoa matamshi yenye mlengo wa kisiasa zitafutwa mara moja kwani ni kinyume na sheria ya usajili inadaiwa kumpa presha Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima.

Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima.
Juzi, gazeti hili lilizungumza na baadhi ya waumini wa makanisa mbalimbali ya kiroho ya jijini Dar ambao walieleza kuwa, kauli hiyo inamgusa Mchungaji Gwajima kwa vile ndiye ambaye hivi karibuni alitoa maneno yenye mweleko wa kisiasa.
“Mimi nadhani Gwajima ndiye mwenye presha. Maana yote yaliyosemwa ndiyo ambayo yeye amehusika nayo, kuhusu maneno ya kisiasa na mrejesho wa uendeshaji wa kanisa lake, mambo ambayo ametakiwa kuwasilisha baadhi ya nyaraka pale Alhamisi ijayo (jana) kwenye Kituo cha Polisi cha Central,” alisema Yohana Petro, mkazi wa Mwenge.
Akizungumza na gazeti hili kwa sharti la kutotajwa jina lake, mchungaji mmoja wa kanisa la Gwajima alidai:
“Watu wanaweza kufikiria kwamba Mchungaji Gwajima ana presha lakini sidhani kama hali iko hivyo. Suala la viongozi wa dini kutoa matamko ya kisiasa ni la kidunia. Viongozi wa dini wanatakiwa kukemea maovu ya nchi.

“Gwajima yuko imara, yupo ngangari na Neno la Mungu. Yeye ni mwakilishi wa kazi za Mungu kwa wanadamu!” alisema mchungaji huyo.Jumanne iliyopita, Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar, alisema kuwa, sheria ya usajili wa taasisi za dini zinakataza viongozi wake kujihusisha na mambo ya kiimani.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top