Habari Kali
Loading...

MWALIMU SEKONDARI AKAMATWA NA ‘UNGA’

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Na Makongoro Oging’
Mwalimu wa shule moja ya sekondari mkoani Singida (jina la shule linahifadhiwa), Charles Andrew (46) amekamatwa na Kikosi Kazi cha Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya nchini (task force) katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere akidawa kuwa na mzigo wa ‘unga’ pipi 101 ya aina ya heroin yenye zaidi ya shilingi milioni mia moja.

Mwalimu wa shule moja ya sekondari mkoani Singida (jina la shule linahifadhiwa), Charles Andrew (46) anayedaiwa kukamatwa na unga.
Taarifa kutoka vyanzo vyetu makini ndani ya kikosi hicho zinasema kwamba mwalimu huyo alikamatwa Juni 25, mwaka huu, saa kumi alfajiri akijianda kusafiri kwenda nchini Ghana kupitia Nairobi.
Habari zaidi zinadai kwamba mwalimu huyo alipokamatwa alikutwa na pipi 40 akiwa amezificha sehemu za siri na baadaye alitoa pipi 61 ambazo alimeza tumboni.


Kamanda wa Polisi Kikosi cha Kupambana na Kudhibiti Madawa ya Kulevya Tanzania, Godfrey Nzowa alipoulizwa ofisini kwake na mwandishi wetu juzi alikiri kukamatwa kwa mtu huyo na kiasi hicho cha madawa.
“Tulipata taarifa kutoka kwa raia mwema ndipo tukaweka mtego na tukafanikiwa kumkamata mtu huyo ambaye kitaaluma ni mwalimu wa shule ya sekondari huko mkoani Singida, hata hivyo tutamfikisha mahakamani wakati wowote upelelezi ukikamilika,” alisema Kamanda Nzowa.
Kamanda Nzowa amewashukuru wananchi kwa ushirikiano wanaotoa juu ya wauza na watumiaji wa unga na waendelee kushirikiana na polisi ili kukomesha kabisa biashara hiyo haramu.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top