WASTARA Juma Issa Abeid amekiri 
kuzidiwa na hisia za kuwa na mwenza kutokana na ukweli kwamba damu yake 
bado changa, hivyo suala la kuolewa halikwepeki huku akimpa nafasi kubwa
 msanii mwenzake, Bond Bin Sinan endapo atakidhi vigezo na masharti.

Wastara Juma Issa Abeid akiwa na Bond.
Akifungulia ‘koki’ ya maneno mbele ya 
paparazi wetu kwa njia ya simu mwanzoni mwa wiki hii, Wastara ambaye kwa
 sasa yuko bize kusaka ubunge nyumbani kwao Morogoro Vijijini, alisema 
hawezi kudanganya kwamba ataishi bila kuwa na mume kwa kuwa amekamilika 
kimaumbile.
“Mimi ni mwanamke, nimekamilika tena 
nakula na ninashiba. Damu bado changa. Nikisema siwezi kuolewa, nitakuwa
 nadanganya. Nimekaa muda mrefu kwa sababu kila mwanaume anayenihitaji 
ananitamani tu.
“Bond namuona ni mwelewa. Lakini nimempa
 sharti la kutonigusa hadi siku ya ndoa. Kama atakidhi na hayo mengine 
ambayo ni siri yetu, niko tayari kuolewa naye,” alisema Wastara.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >
 


 
 
 
