Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Mwana
dada ambae hakufahamika jina lake akiwa amezimia uwanjani baada
kutokana na magoli ya Kiiza mawili ya mwisho ambapo dada huyo inadaiwa
alikuwa mjamzito wa miezi 2 na baadae uliharibika kwa mshtuko huo.
Mashabiki
wa Simba wakiwa wamembeba mwenzao baada ya kuzimia kisa Kiiza kushinda
goli la 3 huku timu yao ikiwa haina kitu kipindi cha kwanza.
Na Mwandishi Wetu
Habari
zilizotua mezani kwenye House of Media iliyopo maeneo ya Kawe kwenye
Jengo la K-Net House floor ya 5 zinaema mzee mmoja maarufu nchini ambae
ni shabiki wa timu ya Simba aliyefahamika kwa jina la Ramadhani Mbande "
Kindalindali" amefariki dunia jana maira ya saa kumi na moja na dakika
40 baada timu yake kufungwa magoli 3 bila kipindi cha kwanza.
Akiongea
na Xdeejayz mmoja wa majirani wa mzee huyo mkazi wa Kigogo njiapanda ya
Tabata Jijini Dar alisema mzee huyo alikuwa nyumbani akitizama mpira
huyo pamoja na mwanae wa mwisho uliokuwa unarusha kupitia TBC1 kupitia
Azam TV na baada ya mshambuliaji nyota Hamisi Kiiza Diego kuifungia timu
yake magoli hayo mawili na kufanya kufikia idadi ya magoli matatu kwa
mtungi hadi mapumnziko.
Chanzo
cha Xdeejayz kiliendelea kusema kuwa baada ya goli la tatu mzee ghafra
alidondoka na kupoteza fahamu na baadae alikimbizwa Hospitali ya Amana
na huko ndiko umauti ulikomfika. Hata hivyo mwili marehemu utasafirishwa
leo kuelekea kijijini kwao Mang'ura Mkoani Morogoro.
Hata
hivyo wakati wa tukio hilo likiendelea timu ya Simba jana ilifuta uteja
kwa Yanga baada ya timu hizo kukutana msimu wa mwaka jana na Yanga
kubamiza Simba goli 2 kwa bila na jana pia Simba waliponea chupuchupu
baada ya kurudisha kwa shida magoli matatu aliyokuwa ameshafungwa na
Yanga.
DADA SHABIKI WA SIMBA APOTEZA UJAUZITO UWANJANI KWA MAGOLI YA KIIZA!
Dada
mmoja ambae hakufahamika nae alijikuta anapoteza uja uzito wake baada
ya mshtuko wa timu yake kufungwa magoli ya harakaharaka na Yanga hadi
timu hizo zinakwenda mapunziko Yanga ilikuwa imeikandamiza Simba goli 3
kwa mtungi.
Habari
za uhakika zilizonaswa na papalazi wa Xdeejayz waliokuwa wamesambaa
uwanja mzima ulishuhudia dada huyo akisitiliwa na watu wa mslaba
mwekundu na taarifa zilizokuja baadae zilisema kuwa dada huyo alikuwa na
ujauzito wa miezi miwili na uliharibika hapo hapo kwa presure!
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Label:
MICHEZO
Monday, October 21, 2013