Ni nadra sana kwa staa wa Tanzania kukubali kusema kiwango anachopata kwa mwezi kutokana na kazi yake ya umaarufu ila kwa Mzee Majuto hali imekuwa ni kinyume...
Akiongea na Millard Ayo, mzee Majuto amekubali kusema kila kitu kwenye kipato cha movie zake za vichekesho ambazo mpaka sasa ndio zinashika nafasi ya 1 kwa mauzo Tanzania
Akiwa ni baba wa watoto tisa, mzee Majuto amefunguka kuwa kwenye movie za kuigiza sasa hivi kama mtu akitaka kumshirikisha ni lazima amlipe milioni nane kutoka milioni 2 au tatu alizokuwa anazikusanya mwanzoni....
Bei hiyo ameibadili kuanzia mwezi September 2013 kwa sababu kadri anavyocheza movie nyingi za kushirikishwa ndivyo anavyozidi kujipunguzia kipato chake kwa mwezi kutoka kampuni ya STEPS iliyomwajiri’
"Mpaka sasa nimecheza movie zaidi ya 600 toka nimeanza kuigiza ( za kushirikishwa na zake mwenyewe) ...
"Nilianza kulipwa zaidi ya milioni moja kwenye movie toka mwaka 2007/2008 baada ya kuwa na kampuni ya Ally Riyami ambayo ilikuwa inanilipa shilingi laki sita kwa kila movie ya Comedy kwa hiyo kwa mwezi nilikuwa napata mpaka milioni 6 au saba kutokana na idadi ya movie nitakazoigiza’ – Mzee Majuto
"Kwa sasa hapa Steps nalipwa kuanzia milioni 17 mpaka 20 kwa mwezi, ni malipo mazuri sana ambayo napata kila mwezi na nimepangiwa kucheza movie 9 kwa mwaka lakini kule Ally Riyami kwa mwezi ndio nilikua nacheza hizo movie 10, yani unacheza movie mpaka unasikia kizunguzungu….
"Nilitakiwa kucheza movie 1 kila baada ya siku tatu ila kwa sasa kwenye mkataba wa Steps nacheza movie moja ya kampuni na moja ya nje ya kampuni, maisha mazuri’ – Mzee Majuto.
Credit-Millardayo
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >